Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 913
- 584
Unatokea Airport au nyegezi bus stand?
Airport.Unatokea Airport au nyegezi bus stand?
chrismas iko mitaa ya kati hapo town,Mkuu Elungata, zipo sehemu gani pale Mwanza tafadhali?
Holmand ipo town kabisa kwa hiyo kama una ishu mdogo ndogo huitaji usafiri unashuka tu unaingia mjini. Sparrow ipo vzr na sehemu tulivyo opposite na rock city mall,na vill park,ila kupata rum za bei hiyo imabidi tufanye booking mapema kny saa nne mpaka sitaMkuu Kabas, Kati ya hizo mbili ipi iko poa zaidi na location ni wapi? Nitakaa hapo zaidi ya wiki, hivyo nahitaji sehemu tulivu ili niweze kufanya majukumu yangu. Naomba usinichoke tafadhali nisaidie hizo taarifa Mkuu.