Hotel ya Southern Sun - Weaver Birds

The_Analyst

JF-Expert Member
Nov 25, 2008
238
83
Habari Wana jamvi,

Kwa wale waliowahi kufika hotel ya Southern sun Posta Mpya karibu na hospital ya Ocean road, Dare es salaam mtakua mmeshawahi kuona viota vingi vilivyojengwa na hawa ndege aina ya "Weaver birds" kwenye palm trees at the entrance of the hotel.

Swali langu ningependa kujua wamewezaje kuwa-attract hawa ndege kujenga viota vyao kwenye hiyo miti ya palm trees at the entrance of the hotel.

Kama kuna mdau anajua mbinu za kuwaattract hawa ndege kujenga viota kwenye palm trees nyumbani kwako atujuze.

Natanguliza Shukrani...
southernsun1.jpg
weaver-bird-nest-building-the-eastern-golden-weaver-ploceus-subaureus-is-a-species-of-bird-in-...jpg
 
Habari Wana jamvi,

Kwa wale waliowahi kufika hotel ya Southern sun Posta Mpya karibu na hospital ya Ocean road, Dare es salaam mtakua mmeshawahi kuona viota vingi vilivyojengwa na hawa ndege aina ya "Weaver birds" kwenye palm trees at the entrance of the hotel.

Swali langu ningependa kujua wamewezaje kuwa-attract hawa ndege kujenga viota vyao kwenye hiyo miti ya palm trees at the entrance of the hotel.

Kama kuna mdau anajua mbinu za kuwaattract hawa ndege kujenga viota kwenye palm trees nyumbani kwako atujuze.

Natanguliza Shukrani...
View attachment 2999164View attachment 2999165
Halo ndege wanapenda Sehemu kwenye karibu na vyanzo vya maji kama mito,ziwa au bahari sehemu ambayo hakuna vyanzo vya maji hakai hao ndege chief kwaiyo ukitaka wakae hao ndege inabidi nyumba yako iwe karibu na vyanzo vyamaji
 
Halo ndege wanapenda Sehemu kwenye karibu na vyanzo vya maji kama mito,ziwa au bahari sehemu ambayo hakuna vyanzo vya maji hakai hao ndege chief kwaiyo ukitaka wakae hao ndege inabidi nyumba yako iwe karibu na vyanzo vyamaji
vyanzo vya maji ukimaanisha mito, maziwa bahari au hata ukijenga ka-pond inatosha? chakula chao je?
 
pawe na maua na miti mizuri ya kutoa maua kuwavutia, maji karibu angalau pond. wakija eneo lako pasiwepo wa kuwatupia mawe au kuwafukuza.... tengeneza 🐦 feeder ingia google zipo sample kibao.
 
Habari Wana jamvi,

Kwa wale waliowahi kufika hotel ya Southern sun Posta Mpya karibu na hospital ya Ocean road, Dare es salaam mtakua mmeshawahi kuona viota vingi vilivyojengwa na hawa ndege aina ya "Weaver birds" kwenye palm trees at the entrance of the hotel.

Swali langu ningependa kujua wamewezaje kuwa-attract hawa ndege kujenga viota vyao kwenye hiyo miti ya palm trees at the entrance of the hotel.

Kama kuna mdau anajua mbinu za kuwaattract hawa ndege kujenga viota kwenye palm trees nyumbani kwako atujuze.

Natanguliza Shukrani...
View attachment 2999164View attachment 2999165
Kulikuwa na mtu Fulani wa miiba ndio walijenga hapo. Ule mti nahisi ndio uliwavutia
 
Huu mti wa mgunga naweza kuupataje?.... nimeulizia kwa hawa wauza maua hawana..... nipe contact ntaulipia niletewe mche.
Hii hotel ilishafunguliwa baada ya kufungwa wakati wa Covid? Ndege hawataki sehemu zenye mkubwa na binadamu.
sijalelewa hapa "Ndege hawataki sehemu zenye mkubwa na binadamu."
 
Back
Top Bottom