Golden Rose bana......au kama anataka hekaheka........aje hapa jirani na kwangu.......Rift Valley.........full self contained........kama anaelewa ninachomaanisha.............
Sasa Preta ni dipu # ipi? Nimekuja maeneo ya Philips hapa muda huu kuonana na wenyeji. Ila Ntarudi kulala hapo. Sema kwenye ile kona sijui kama nitapita salama maana niliyokutanayo jana ni zaidi ya kona bar.
Tumekuboa eeeh......tusamehe bure lakini sisi tumependa uzi huu huu..........na tutaendelea hapa hapa.......mpaka mwenye uzi atakaporudi tena Arusha.........
Sasa Preta ni dipu # ipi? Nimekuja maeneo ya Philips hapa muda huu kuonana na wenyeji. Ila Ntarudi kulala hapo. Sema kwenye ile kona sijui kama nitapita salama maana niliyokutanayo jana ni zaidi ya kona bar.
Kama sio Mujahidin simshauri alale karibu na hapo maana jamaa saa9 alfajiri wanaanza kutoa vitisho km huendi kusali....chumba ulicholala ndio kaburi lako...shuka ulilojifunika ndio sanda yako...!