Naye Meneja Madeni wa NHC, Japhet Mwanasenga alisema awali hospitali hiyo iliomba kulipa deni hilo kwa awamu,
lakini ilishindwa kufanya hivyo.
"Dk Khan ni miongoni mwa wadaiwa sugu, tumekuwa tukiwasiliana nao mara kwa mara kabla ya uamuzi huu wa kuawatoa katika jengo letu.
"Tumeamua kuchukua hatua hii ili kufidia deni tunalowadai na, ni onyo kwa yeyote anayedaiwa alipe kabla hajapata usumbufu,"alisema Mwanasenga.