Hili ni janga la taifa wananchi tusiwalaumu madaktari kugoma ni waokozi wetu, hospitali nyingi hazina vifaa vya kutosha.
MKWECHE na ndiyo maana ukawa na mawazo ya kimcheche mkweche!!! Fikiri nje ya box.Mie Nalaani na Si kuwalamu Tu!Wao madaktari hawajaigomea Serikali bali Wamegomea wagonjwa ambao ni watanzania wenzao!Unyama wao ni Kuangalia wamama wajawazito na watoto awakifa bila tiba!
Hawa licha ya kukosa Uzalendo wamekosa Utu na shukrani kwa waliowasomesha!
Mimi nawalaumu waliomchagua jk na sisiem yake.
Mie Nalaani na Si kuwalamu Tu!Wao madaktari hawajaigomea Serikali bali Wamegomea wagonjwa ambao ni watanzania wenzao!Unyama wao ni Kuangalia wamama wajawazito na watoto awakifa bila tiba!
Hawa licha ya kukosa Uzalendo wamekosa Utu na shukrani kwa waliowasomesha!
Mie Nalaani na Si kuwalamu Tu!Wao madaktari hawajaigomea Serikali bali Wamegomea wagonjwa ambao ni watanzania wenzao!Unyama wao ni Kuangalia wamama wajawazito na watoto awakifa bila tiba!
Hawa licha ya kukosa Uzalendo wamekosa Utu na shukrani kwa waliowasomesha!