Hospitali nzuri jijini Dar kitengo cha Urology ni ipi?

moghasa

JF-Expert Member
May 7, 2013
1,084
1,252
Wapendwa wanajamvi umofia kwenu!!!!!

mimi ni mgonjwa naishi nje ya Dar! napenda kujua ni hospital gani iliyopo DAR ambayo naweza pata huduma nzuri kitengo cha njia ya mkojo na uzazi (urology)!

ninatumia bima ya NHIF brown kadi! hivyo kuhusu gharama sina shaka!
mwanzo niliwaza Mhimbili lakin naogopa foleni na pia likizo yangu inaelekea kuisha nirudi kazin.

naombeni msaada wakuu!
 
Kwanza pole kwa maradhi mkuu,sina uhakika sana ila nachojua mimi kwa Dar hakuna hospital isiyokuwa na foleni muhimu ni kuwahi tu,kawaida huwa naenda Muhimbili NHIF wana kitengo chao huduma zao ni nzuri sana...Regency ni wazuri sana but nao foleni yao ni balaa.
 
Kwanza pole kwa maradhi mkuu,sina uhakika sana ila nachojua mimi kwa Dar hakuna hospital isiyokuwa na foleni muhimu ni kuwahi tu,kawaida huwa naenda Muhimbili NHIF wana kitengo chao huduma zao ni nzuri sana...Regency ni wazuri sana but nao foleni yao ni balaa.
mkuu asante sana kwa ushauri!
kuna mdau ananipm niende Agakhan vp mkuu hii una ABCs zake!
 
Wapendwa wanajamvi umofia kwenu!!!!!

mimi ni mgonjwa naishi nje ya Dar! napenda kujua ni hospital gani iliyopo DAR ambayo naweza pata huduma nzuri kitengo cha njia ya mkojo na uzazi (urology)!

ninatumia bima ya NHIF brown kadi! hivyo kuhusu gharama sina shaka!
mwanzo niliwaza Mhimbili lakin naogopa foleni na pia likizo yangu inaelekea kuisha nirudi kazin.

naombeni msaada wakuu!

Mtafute Profesa Yongolo.Ni urologist mzuri sana
 
Nenda Recency mtafute professor Mkonyi. Huwa anakuwepo baadhi ya siku. Hospitali hii ipo juu wanatumia NHIF
 
Nenda Recency mtafute professor Mkonyi. Huwa anakuwepo baadhi ya siku. Hospitali hii ipo juu wanatumia NHIF
Best unaweza kujua ratiba ya prof hapo regency au yupo kila sikusiku !!
 
Back
Top Bottom