Hospital ya Hindumandal Dar es Salaam

Hospital ya Hindumandal Dar es Salaam

ween

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
414
Reaction score
129
Natumani tumeunza mwaka salama , ndg zangu naomba mwenye makala yanayoielezea hosptali ya indumandal kwa lugha ya kiswahili aniwekee hapa.

Pia naomba kwa anaefahamu gharama zao za kujifungua kwa wasiotumia bima anisaidie.
 
Natumani tumeunza mwaka salama , ndg zangu naomba mwenye makala yanayoielezea hosptali ya indumandal kwa lugha ya kiswahili aniwekee hpa.

Pia naomba kwa anaefahamu gharama zao za kujifungua kwa wasiotumia bima anisaidie
watakuja mkuu mie na wife tunatumia bima na alitumia bima wakati wa kujifungulia hapo,wako vzuri sana huduma zao na wana care mno wateja wao (wagonjwa) mkeo anajifngua like a quen
 
Natumani tumeunza mwaka salama , ndg zangu naomba mwenye makala yanayoielezea hosptali ya indumandal kwa lugha ya kiswahili aniwekee hpa.

Pia naomba kwa anaefahamu gharama zao za kujifungua kwa wasiotumia bima anisaidie
Hii ni hosptali mpya?
 
Hii hospital c ndo ipo kariakoo??????
 
Back
Top Bottom