Mtundu wa Tech
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 642
- 612
Habari!
Kutokana na title inavyojieleza hapo juu, nahitaji kufahamu hospital ya masikio hapa jijini Dar ambayo inapima kwa usahihi na kugawa vifaa vya usikivu ili kuongeza uwezo wa kusikia.
Maana kuna ndugu yangu alikuwa anaumwa sana enzi za nyuma na kupelekea kupoteza uwezo wake wa kusikia na mwanzoni madaktari walisema chanzo ni homa ya uti wa mgongo (Meningitis) na mitaani wanasema alirogwa kwa sababu alikua ana akili sana darasani.
Hivyo nawaomba wataalamu waniambie hospital nzuri hapa Dar au kama kuna taasisi wanapima na kugawa vifaa vya kuongeza usikivu bure nipeni contacts zao na kama kuna hospital nzuri wanapima na kutoa hivyo vifaa tafadhari msisite kuniambia ili aende kwa uchunguzi zaidi.
Maana tatizo limekuwa sugu kwa sababu hii hali ilianza muda mrefu kidogo. Kuna kipindi alipelekwa Mloganzila akapima na kuandikiwa vifaa na aliambiwa kuna form aende hospital ya Taifa Muhimbil akajaze kisha vifaa vikija ataitwa ila mpaka leo kimya hatujui tatizo liko wapi.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa watakao nisaidia hili kupatikana kwa wataalamu au madaktari bingwa wa masikio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na title inavyojieleza hapo juu, nahitaji kufahamu hospital ya masikio hapa jijini Dar ambayo inapima kwa usahihi na kugawa vifaa vya usikivu ili kuongeza uwezo wa kusikia.
Maana kuna ndugu yangu alikuwa anaumwa sana enzi za nyuma na kupelekea kupoteza uwezo wake wa kusikia na mwanzoni madaktari walisema chanzo ni homa ya uti wa mgongo (Meningitis) na mitaani wanasema alirogwa kwa sababu alikua ana akili sana darasani.
Hivyo nawaomba wataalamu waniambie hospital nzuri hapa Dar au kama kuna taasisi wanapima na kugawa vifaa vya kuongeza usikivu bure nipeni contacts zao na kama kuna hospital nzuri wanapima na kutoa hivyo vifaa tafadhari msisite kuniambia ili aende kwa uchunguzi zaidi.
Maana tatizo limekuwa sugu kwa sababu hii hali ilianza muda mrefu kidogo. Kuna kipindi alipelekwa Mloganzila akapima na kuandikiwa vifaa na aliambiwa kuna form aende hospital ya Taifa Muhimbil akajaze kisha vifaa vikija ataitwa ila mpaka leo kimya hatujui tatizo liko wapi.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa watakao nisaidia hili kupatikana kwa wataalamu au madaktari bingwa wa masikio.
Sent using Jamii Forums mobile app