Wakuu watu wangapi iwa tunashuhudia wanabambikiwa kesi??Mbona mnataka kuleta mijada isiyo ya lazima tunaona watu wanabambikiwa bangi mfukoni na polisi kesi kibao za kubambikiwa.........cha mhimu hapa tufanyaje kumkoma Hosea aliye mwalibia maisha Zephania ...huku yeye akipeta.Hivi na kwa nini hili swala la huyu mwandishi halipewi uzito wa aina yake naona vyombo vya habari vimekaa kimyaaaaaa....
kama hii habari ya kubambikiziwa kesi ni kweli inauma sana!!! na kwa nini ukubali kwenda kuonana na Hosea? kama alikuwa na shida angekuja ofisini kwako. na kama ilithibitika alitoa rushwa basi hiyo habari ilikuwa ya ukweeli
kama hii habari ya kubambikiziwa kesi ni kweli inauma sana!!! na kwa nini ukubali kwenda kuonana na Hosea? kama alikuwa na shida angekuja ofisini kwako. na kama ilithibitika alitoa rushwa basi hiyo habari ilikuwa ya ukweeli
"Tulizungumza kwa muda na ghafla Hosea alinyanyuka na kulikuwa na watu kama sita walioingia na kuzunguka meza yetu na mmoja alimwingiza mkono mfukoni. "Wakaniambia nitulie nisifanye vurugu yoyote na kuwa walikuwa wanashuku nimepokea rushwa, wakaniamuru nitoe vitu vyote mfukoni na mimi nilitelekeza kwa kutoa kila kitu pamoja na pesa nilizokuwa nazo."Anasema baada ya kuweka mezani walikagua na kuweka pembeni baadhi ya pesa na kusema kuwa alikuwa na pesa zao kiasi cha Sh100,000 na hivyo aliamriwa kuwa yuko chini ya ulinzi. Baada ya hapo akasema kuwa walimchukua na kutoka naye nje wakidai kuwa na mahojiano zaidi.
"Tulipofika nje nikawaomba nimtaarifu dereva wangu ili arudi ofisini, lakini hawakukubali na waliondoka na mimi hadi polisi Oysterbay ambako nililala huko," anasema.
"Pia nilisikia kuwa hata dereva wangu alikamatwa baadaye na yeye alilala Central Police kwa kosa la uzururaji nadhani."Anasema kwa mlolongo huo wa matukio alijua kabisa kuwa hawa watu hawakuwa na nia njema naye na mpango huo ulikuwa kumkomoa, kwani dereva hakuwa na kosa lolote.
"Kesho yake nilipata dhamana na wakaniambia kuwa siku inayofuata niripoti ili nifikishwe mahakamani kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa."Tulipofika mahakamani nilitakiwa kuwekewa dhamana ya Sh500,000 taslim na kwa kuwa ofisini walikuwa wanashughulikia hilo, hawakusubiri na kunipeleka Keko ambako nililala kwa siku tano kabla ya dhamana kukamilishwa," anasema.
Hivi mtu ukiwekewa pesa mfukoni, si ina maana wewe hujawahi kuzishika hizo pesa. Je Tanzania hatuna utaalamu wa kuthibitisha kitu kama hicho?
Habari ya huyu mwandishi inaweza kuwa kweli lakini pia inawezekana kabisa alichukua hiyo laki moja toka kwa Hosea na hivyo kuishia pabaya.
Kama ni kweli alibambikiziwa hizo pesa basi Tanzania tunaelekea kubaya sana.
Hivi sheria zetu za kumpekua mtu zikoje? Yaani mtu anaweza kuja bila kibali chochote na kuanza kukupekua? je ukikataa itakuwaje?
Kuhani,I mean, ni vizuri kujua shuruba za wafungwa, lakini stori za prayer times au meal schedule za vyakula vya jela na daily regimen za lupango ni zile zile. Bondo na Ndondo. Kulima na Wanyampara. Funza na Uji. Kuhesabiwa na Kulala. Jumapili Nyama. Sigara ni dili. Kwishne. Wamarekani wanasema, same ol' shit!
Kwa hiyo Mwandishi cut that extraneous stuff, tuambie kesi ya Hosea mwenyewe iliishaje, na muulize ex-Mhariri atueleze vizuri alikamatwa kamatwaje?
.
hivi ndugu yetu Hosea anajisikiaje kama kweli habari hii ni ya kweli? maana nasikia dhambi nyingine hulipwa hapa hapa duniani.............................