Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,828
- 14,457
View: https://youtube.com/shorts/QXKmNjDbk9U?si=eo_ckgeSH-mDtbep
Ujumbe ndio huo Iran anasema Israel kashambulia Iran lazima tufunge tena Hormuz hapa naona Iran anamtafuta Israel amtie adabu
Hio ni breaking news
Upo sahihi mkuu. Wanamlia timing Muajemi akizubaa amefutwa. But itakuwa kwa mbinde sana safari hii Wasovieti na Wachina Bila kumsahau Kim Jong wamekuwa marafiki wa kweli wa Iran wamempa backup kubwa sana otherwise The Game Was Supposed to Be over A Long Time Ago!Iran asifuate masharti ya hao Amerika.
Round hii wamedhamiria kumungusha. Na watafanikiwa tuu.
So yeye kazi yake ni kuwatia hasara tukuka
Upo sahihi mkuu. Wanamlia timing Muajemi akizubaa amefutwa. But itakuwa kwa mbinde sana safari hii Wasovieti na Wachina Bila kumsahau Kim Jong wamekuwa marafiki wa kweli wa Iran wamempa backup kubwa sana otherwise The Game Was Supposed to Be over A Long Time Ago!
Shetani hakubali kushindwa kirahisi ila nguvu ya Mungu huzishinda nguvu zote!Ndio maana Amerika anatumia janja ya Nyani.
Hao Makafiri ukiyasikiliza maigizo yao yakijifanya yamezidiwa sijui yanalialia ni malaghai. Ni uongo mtupu.
Hizo ni propoganda hakuna nchi ilio msaidia Iran tofouti na America na Israeli wamesaidiwa na nchi nyingi sana zipo za Europe na zipo za kiarabu.Upo sahihi mkuu. Wanamlia timing Muajemi akizubaa amefutwa. But itakuwa kwa mbinde sana safari hii Wasovieti na Wachina Bila kumsahau Kim Jong wamekuwa marafiki wa kweli wa Iran wamempa backup kubwa sana otherwise The Game Was Supposed to Be over A Long Time Ago!
Waziri mkuu ni PUPPET shida iko hapo.Serekali ya Lebanon majinga kweli eti Iran hana haki ya ku deal na Israel kuhusu Lebanon, na Trump anadai Lebanon haipo kwenye ceasefire walio kubaliana. Pakistan inasema ipo kwenye makubaliano
Sa Iran anataka kujitoa kwenye makubaliano kwa hio vita inarudi pale pale
Tatizo Trump kadai kwenye ceasefire Lebanon haipo wakati Iran na Pakistan wanadai ipo. Trump hayuko sawaKama Israel amefanya hivi basi ategemee kisasi kizito.
Na Iran kamwe hatokubali tena kusitisha vita.
Na USA sidhani kama itaendelea kuisaidia Israel.
Ishu sio Lebanon,nazungumzia kama ulichokisema hapo kuwa Israel ameishambulia Iran basi ameharibu kila kitu.Tatizo Trump kadai kwenye ceasefire Lebanon haipo wakati Iran na Pakistan wanadai ipo. Trump hayuko sawa
Hawa LGBTQ ni Wairan?
Israel hakushambulia Iran baada ya ceasefire hata Shetanyahu alikubaliIshu sio Lebanon,nazungumzia kama ulichokisema hapo kuwa Israel ameishambulia Iran basi ameharibu kila kitu.
Mkuu tushangilie Iran imeshinda hii vita. Kata hilo uunoo maamae.Kama Israel amefanya hivi basi ategemee kisasi kizito.
Na Iran kamwe hatokubali tena kusitisha vita.
Na USA sidhani kama itaendelea kuisaidia Israel.
Mkuu ukitaka vipi?Iran asifuate masharti ya hao Amerika.
Round hii wamedhamiria kumungusha. Na watafanikiwa tuu.
So yeye kazi yake ni kuwatia hasara tukuka