Hope is fading away

Hapana haiwezekani mkuu, mbona huyu mama ataandamwa yeye na familia yake....usione kimya,watu mtaani they pray for Lissu aisee
Prayers kama zingekuwa zinasaidia zingewasaidia watu wa Gaza kwanza. Au mnadhani Mungu yupo Tanzania tu?

Mwanaye wa pekee alisema bayana kuwa ya Mungu yatatuliwe kiroho lkn ya kiserikali yatatuliwe kiserikali (ya Mungu mpe Mungu lkn ya Kaisari mpe Kaisari).
 
Sad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…