Jana usiku nilisikis channel ten ikionyesha ushindi wa dewj singida mjini,ila nimefurahishwa kwa chadema kupata asilimia karibu 30!% huu ni mwamko mkubwa kwa wanasingida kuacha ushamba wa kutafuta wafadhili badala ya viongozi .maendeleo ya kweli yataletwa nanyi mkisaidiwa na wanyiramba!