Hongereni Wakurya kwa hili

Hongereni Wakurya kwa hili

Ukweli mtupu, kwao watoto ni furaha ya mji au wa kumzaa au la!
 
Wakurya!! Wanangu, dadazangu au wanawake wote wanaonihusu wakiolewa na wakurya tu ni mwisho wa mahusiano yetu!!.
Haya madude sijui kwanni MUNGU aliyaumba! Yalitakiwa yazaliwe huko kwenye familia za simba yakazane kutulia nyumbu zetu
**** wewe
 
Huu ni uzezeta mwingine toka mkoa wa jehanamu....yaani mwanamke azae na wanaume wengine huko nje mie nilee hao watoto, kama baba zao ni vibaka je? Waendelee tu kuchapana mapanga, siendekezi ujinga huu kamwe.
 
Wakurya!! Wanangu, dadazangu au wanawake wote wanaonihusu wakiolewa na wakurya tu ni mwisho wa mahusiano yetu!!.
Haya madude sijui kwanni MUNGU aliyaumba! Yalitakiwa yazaliwe huko kwenye familia za simba yakazane kutulia nyumbu zetu

Kamwambie mama yako hivyo mbuzi wewe !!!

mwili nyumba akili kisoda

Mdomo bakuli
 
Ukitufahamu vizuri wakurya, lazima utakubali we're the coolest people on the planet untill you mess with us!

1. Very aggressive hata kutafuta maisha.

2. Very honest, hatunaga double standards. Hapa ndio wanafki hua wanatuchukia.

3. Very protective kwa watu wetu wa karibu.

4. Msimamo! Sisi ni wanaume wenye msimamo!

I'm proud to be a Kurya!
 
Unalipamba kabila lako Mkuu, yaani mnyamwezi aolewe na mkulya au labda wanawake wa Tabora tu na siyo wanyamwezi.
 
Wakurya!! Wanangu, dadazangu au wanawake wote wanaonihusu wakiolewa na wakurya tu ni mwisho wa mahusiano yetu!!.
Haya madude sijui kwanni MUNGU aliyaumba! Yalitakiwa yazaliwe huko kwenye familia za simba yakazane kutulia nyumbu zetu
Mdomo huumba, ngoja siku dada yako akamatiwe na mkurya alafu uone kama atakuzingatia
 
Unalipamba kabila lako Mkuu, yaani mnyamwezi aolewe na mkulya au labda wanawake wa Tabora tu na siyo wanyamwezi.
Kwani kipi cha ajabu boss....! Wanyamwezi si famba tu kama wengine, na hivyo tunavyopenda watoto weupe Wanyamwezi hawana sifa ya kuolewa na sisi
 
Back
Top Bottom