Hongereni Raia Mwema, pole sana Mawio

Hongereni Raia Mwema, pole sana Mawio

YAHAYAMOHAMED1970

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2015
Posts
229
Reaction score
96
Tangia fisadi bahari lowasa ahamie chadema magazeti ya kila wiko yaliyokuwa yanaaminiwa na kunuliwa sana yamechukua uelekeo tofauti. waandishi wengi wa raia mwema hawajapendezwa na habari ya chadema kumpokea lowasa, na wanachambua vizuri na kujenga hoja.

Gazeti la mawio limeshabebwa na mafuriko ya pesa ya fisadi bahari lowasa, hata said kubenea ambaye toka gazeti la mwanahalisi alishaandika makala zaidi ya 1500 akimchambua na kumkejeli lowasa nae anamsifia lowasa.

Binafsi nawapongeza gazeti la raia mwema na raia tanzania kwa kuendelea kuandika pande zote mbili za habari.
nawapa pole sana mawio, najua baada ya Oct lowasa akishashindwa uchaguzi mtapungukiwa sana mauzo, mmeanza andika habari kama za gazeti la uhuru ambalo linapendelea ccm katika kila habari.

Poleni sana mawio, pole sana said kubenea. naona wala matapishi yako hadi yale yaliyoweka funza tayari, kumbe na wewe unabei yako, naona fisadi lowasa kaifikia bei yako
 
Kweli kabisa ndugu, nakupongeza sana kwa kulisema hilo... Tanzania ni shidaaa... Yale magazeti yote tuliyokua tuna yanaheshimu yamekua majanga... Mpaka unajiuliza nini kimewapata... Hakuna Nipashe, Mwananchi wala Mawio... Yote yamekua usanii mtupu... Wanafikiri wote tuna maslahi kwa Lowasa au CCM... Hawaoni kwamba kuna wengine hatumjui Lowasa wala Magufuli na tunahitaji balanced stories ili tukamilishe ma amuzi yetu, SHAME ON THEM. Niwapongeze sana RAIA MWEMA gazeti pekee lililo simama imara na mtu mwenye akili timamu unaweza kulisoma kwa sasa... Hongereni sana and please msibadilike, ndio tegemeo kwa sasa, wengine wote njaa tupu..,🙆🙆🙆
 
Ukitaka kusoma Habari balanced soma The Citizen, hata Annur la kiislamu nalo kama Mawio limewekwa Mfukoni na Lowassa. Vijana wa Gwajima, Kakobe, Mtambani na Mtaa wa Ufipa wote Sasa team Mafisadi
 
tangia fisadi bahari lowasa ahamie chadema magazeti ya kila wiko yaliyokuwa yanaaminiwa na kunuliwa sana yamechukua uelekeo tofauti. waandishi wengi wa raia mwema hawajapendezwa na habari ya chadema kumpokea lowasa, na wanachambua vizuri na kujenga hoja.
gazeti la mawio limeshabebwa na mafuriko ya pesa ya fisadi bahari lowasa, hata said kubenea ambaye toka gazeti la mwanahalisi alishaandika makala zaidi ya 1500 akimchambua na kumkejeli lowasa nae anamsifia lowasa.
binafsi nawapongeza gazeti la raia mwema na raia tanzania kwa kuendelea kuandika pande zote mbili za habari.
nawapa pole sana mawio, najua baada ya Oct lowasa akishashindwa uchaguzi mtapungukiwa sana mauzo, mmeanza andika habari kama za gazeti la uhuru ambalo linapendelea ccm katika kila habari.
poleni sana mawio, pole sana said kubenea. naona wala matapishi yako hadi yale yaliyoweka funza tayari, kumbe na wewe unabei yako, naona fisadi lowasa kaifikia bei yako

Mungu hamfichi mnafiki.Kelele zote zile mpaka kumwagiwa tindikali hatimaye tumeijua thamani yake
 
tangia fisadi bahari lowasa ahamie chadema magazeti ya kila wiko yaliyokuwa yanaaminiwa na kunuliwa sana yamechukua uelekeo tofauti. waandishi wengi wa raia mwema hawajapendezwa na habari ya chadema kumpokea lowasa, na wanachambua vizuri na kujenga hoja.
gazeti la mawio limeshabebwa na mafuriko ya pesa ya fisadi bahari lowasa, hata said kubenea ambaye toka gazeti la mwanahalisi alishaandika makala zaidi ya 1500 akimchambua na kumkejeli lowasa nae anamsifia lowasa.
binafsi nawapongeza gazeti la raia mwema na raia tanzania kwa kuendelea kuandika pande zote mbili za habari.
nawapa pole sana mawio, najua baada ya Oct lowasa akishashindwa uchaguzi mtapungukiwa sana mauzo, mmeanza andika habari kama za gazeti la uhuru ambalo linapendelea ccm katika kila habari.
poleni sana mawio, pole sana said kubenea. naona wala matapishi yako hadi yale yaliyoweka funza tayari, kumbe na wewe unabei yako, naona fisadi lowasa kaifikia bei yako

mwenye macho haambiwi tazama!...asiye na mwana aeleke jiwe..."

Tangu uhuru chama tawala ni CCM....rushwa...CCM....Uchumi tegemezi...CCM...ujinga...CCM...maradhi...CCM....umaskini....CCM....ubadhilifu na ufisadi woooote ni mazao ya utawala dhalimu wa chama cha mapinduzi...kila kitu wamepindua..elimu..kilimo...ardhi...masoko...viwanda...maadili...hakika october 25 mwaka huu ni wapumbavu pekeee watakubali kuzama... viva UKAWA viva...Lowassa!!!
 
Kweli kabisa ndugu, nakupongeza sana kwa kulisema hilo... Tanzania ni shidaaa... Yale magazeti yote tuliyokua tuna yanaheshimu yamekua majanga... Mpaka unajiuliza nini kimewapata... Hakuna Nipashe, Mwananchi wala Mawio... Yote yamekua usanii mtupu... Wanafikiri wote tuna maslahi kwa Lowasa au CCM... Hawaoni kwamba kuna wengine hatumjui Lowasa wala Magufuli na tunahitaji balanced stories ili tukamilishe ma amuzi yetu, SHAME ON THEM. Niwapongeze sana RAIA MWEMA gazeti pekee lililo simama imara na mtu mwenye akili timamu unaweza kulisoma kwa sasa... Hongereni sana and please msibadilike, ndio tegemeo kwa sasa, wengine wote njaa tupu..,
 
mwenye macho haambiwi tazama!...asiye na mwana aeleke jiwe..."
wewe ulitaka mawio wafanyeje....mfumo wa matukio na watu wanaotengeneza habari vinabadilika wewe unataka waandishi waendelee kukalili nyimbo zilezile kanakwamba wanahubiri injili..hata ingelikuwa injili ukitubu na wewe unakuwa muinjilist.

kwa maoni yangu sioni tatizo kwenye habari ikiwa watu...matukio...
mitazamo..na falisafa vinabadilika...
waandishi wenye weledi lazima waendane na mabadiliko...
acheni ndoto ya watanzania wapenda mabadiliko itimie.....

Tangu uhuru chama tawala ni CCM....rushwa...CCM....Uchumi tegemezi...CCM...ujinga...CCM...maradhi...CCM....umaskini....CCM....ubadhilifu na ufisadi woooote ni mazao ya utawala dhalimu wa chama cha mapinduzi...kila kitu wamepindua..elimu..kilimo...ardhi...masoko...viwanda...maadili...hakika october 25 mwaka huu ni wapumbavu pekeee watakubali kuzama... viva UKAWA viva...Lowassa!!!
 
Kwenye media kapiga bao Lowasa lakini sina hakika na dhamira yake au kama anania njema na nchi hii au ndio uroho wa madaraka coz kakatwa na kamati kuu anakisebusebu na kiroho papo.
 
tangia fisadi bahari lowasa ahamie chadema magazeti ya kila wiko yaliyokuwa yanaaminiwa na kunuliwa sana yamechukua uelekeo tofauti. waandishi wengi wa raia mwema hawajapendezwa na habari ya chadema kumpokea lowasa, na wanachambua vizuri na kujenga hoja.
gazeti la mawio limeshabebwa na mafuriko ya pesa ya fisadi bahari lowasa, hata said kubenea ambaye toka gazeti la mwanahalisi alishaandika makala zaidi ya 1500 akimchambua na kumkejeli lowasa nae anamsifia lowasa.
binafsi nawapongeza gazeti la raia mwema na raia tanzania kwa kuendelea kuandika pande zote mbili za habari.
nawapa pole sana mawio, najua baada ya Oct lowasa akishashindwa uchaguzi mtapungukiwa sana mauzo, mmeanza andika habari kama za gazeti la uhuru ambalo linapendelea ccm katika kila habari.
poleni sana mawio, pole sana said kubenea. naona wala matapishi yako hadi yale yaliyoweka funza tayari, kumbe na wewe unabei yako, naona fisadi lowasa kaifikia bei yako
Mbona huongelei magazeti yenu ya propaganda ya 'kufa mtu' ya Uhuru na Habari leo?

Ingawa Uhuru siwezi lishangaa sana kwa kuwa ni gazeti la CCM kwa hiyo kuandika habari za propaganda dhidi ya Ukawa ni wajibu wao.

Sasa inakuwaje gazeti la serikali la Habari Leo linaloendeshwa na kodi za wananchi wote bila kujali itikadi zao za siasa, liwe siku zote haliwezi kuandika balanced stories na badala yake liwe ndiyo linaloongoza kwa kuandika propaganda dhidi ya Ukawa kama vile linamilikiwa na magamba?

Kwa kuwa Sisiemu mlizoea kubebwa na vyombo vingi vya habari vya nchi hii, mlivyoona kwenye uchaguzi wa mwaka huu upepo umewageukia mmeanza kulialia kama yule ndorooooboooooo....................
 
Cjaona hoja hii kama inamashiko.ccm na lowasa nani anapesa.nilifanya tafiti binafs nikagundua hawa watu wameshalishwa sumu na ccm wakaamini lowasa anamapesa kuliko hazina bt ni ujinga kuamini hivyo.hebu tujiulize tangu aanze kugawa hizo pesa katumia kiac gani na amezitoa wapi au anazitengeneza na je kamnunua hadi kikwete asiwatume takukuru wamkamate ili ahukumiwe.hizo za pesa ni fimbo ya ccm dhidi ya lowasa mana walijua hawatamuweza kwa lolote hivyo wampe kashfa nzito kama hiyo ili waendelee kutufanya kandambili
 
Mwaka huu magamba hamna pa kutokea, kila mnalolipanga gizani Mungu anaendelea kuliumbua mchana kweupe.

Mfano mmjawapo ni namna gazeti lenu la Uhuru kuandika habari za kujiuzulu kwa Lipumba siku moja kabla ya Mwenyekiti mwenza huyo wa Ukawa hajaandaliwa kikao na waandishi wa habari pale Peacock, kikao ambacho kiliratibiwa na KITENGO.

Cha kushangaza zaidi ni mara tu baada ya kumaliza kikao hicho na waandishi wa habari, Profesa huyo akasindikizwa moja kwa moja kwenda uwanja wa ndege 'under heavy escort'

Sasa hizo 'suspicious characters' za movie nzima ya Profesa, bado tu hazitoi picha ya nini kilikuwa behind ya kujiuzulu ghafla kwa huyo Mwenyekiti mwenza wa Ukawa?

Sasa ukiunganisha dots hapo utashindwa tu kujua nani yuko behind hii ya huo 'mchezo' wa kubwaga manyanga kwa Profesa?

Sasa ikiwa Sisiemu siku zote mmekuwa mkitamba kuwa chama chenu hakiwezi hata siku moja kiweze kutingishwa na vyama vya 'misimu' vya upinzani, iweje mwaka huu mtumie nguvu kubwa mno kutaka kuusambaratisha Ukawa hata kwa kutumia mabilioni ya shilingi kwa ajili ya kutaka 'kuwanunua' key persons wa Ukawa?
 
Kumbe gazeti likiandika habari ambazo hazikufurahisi unaona limepotoka na lile linaloandika habari zinazokufurahisha ndio zuri.
Wewe mwenyewe uko bias halafu unalaumu wengine kwa kuwaona bias, WTF

Raia Mwema walibase na kuwekeza kwa Membe imekula kwao. Kama wako objective waandike kuhusu Escrow iliyokula mabilioni ya hela zetu huku JK na wanaye na Simba Trust yao wala hawatajwi, watu wamekomaa na ile kashfa ya 2007 ambayo ni ndogo ukilinganisha na hii ya 2014
 
haya magazeti kanjanja ya tanzania yameanzishwa kwa kupata rushwa ili waishi dawa ni kuyafuta yote
 
tangia fisadi bahari lowasa ahamie chadema magazeti ya kila wiko yaliyokuwa yanaaminiwa na kunuliwa sana yamechukua uelekeo tofauti. waandishi wengi wa raia mwema hawajapendezwa na habari ya chadema kumpokea lowasa, na wanachambua vizuri na kujenga hoja.
gazeti la mawio limeshabebwa na mafuriko ya pesa ya fisadi bahari lowasa, hata said kubenea ambaye toka gazeti la mwanahalisi alishaandika makala zaidi ya 1500 akimchambua na kumkejeli lowasa nae anamsifia lowasa.
binafsi nawapongeza gazeti la raia mwema na raia tanzania kwa kuendelea kuandika pande zote mbili za habari.
nawapa pole sana mawio, najua baada ya Oct lowasa akishashindwa uchaguzi mtapungukiwa sana mauzo, mmeanza andika habari kama za gazeti la uhuru ambalo linapendelea ccm katika kila habari.
poleni sana mawio, pole sana said kubenea. naona wala matapishi yako hadi yale yaliyoweka funza tayari, kumbe na wewe unabei yako, naona fisadi lowasa kaifikia bei yako

Usahihi :kila wiko =kila wiki
said kubenea=Saed Kubenea
 
Stupidity of the highest magnitude! Politics has no permanent enemy or allies! Kitu gani kigumu kuelewa kuhusu ENL? Hata CCM leo hii wanajutia kosa la karne kwa kumfukuza chamani. Its stupid pride kuamini kuwa hakuna aliye juu ya chama. It's true Ronaldo au Messi wangeuzwa buku buku tuu!
 
Kubenea siku zote tunawaambia ni mnafiki na ni muongo mbona kafyata mkia baada ya lowasa kuhamia chadema
 
Kwenye media kapiga bao Lowasa lakini sina hakika na dhamira yake au kama anania njema na nchi hii au ndio uroho wa madaraka coz kakatwa na kamati kuu anakisebusebu na kiroho papo.

asikudanganye mtu kila mwanasiasa ana lengo la kushinda na kuchukua Madaraka.Iwejeee lowasa akipambana katika NIA hiyo aonekane Mrohoo na w wegine sio
 
tangia fisadi bahari lowasa ahamie chadema magazeti ya kila wiko yaliyokuwa yanaaminiwa na kunuliwa sana yamechukua uelekeo tofauti. waandishi wengi wa raia mwema hawajapendezwa na habari ya chadema kumpokea lowasa, na wanachambua vizuri na kujenga hoja.
gazeti la mawio limeshabebwa na mafuriko ya pesa ya fisadi bahari lowasa, hata said kubenea ambaye toka gazeti la mwanahalisi alishaandika makala zaidi ya 1500 akimchambua na kumkejeli lowasa nae anamsifia lowasa.
binafsi nawapongeza gazeti la raia mwema na raia tanzania kwa kuendelea kuandika pande zote mbili za habari.
nawapa pole sana mawio, najua baada ya Oct lowasa akishashindwa uchaguzi mtapungukiwa sana mauzo, mmeanza andika habari kama za gazeti la uhuru ambalo linapendelea ccm katika kila habari.
poleni sana mawio, pole sana said kubenea. naona wala matapishi yako hadi yale yaliyoweka funza tayari, kumbe na wewe unabei yako, naona fisadi lowasa kaifikia bei yako

Mkuu, u-turn aliyoifanya kubenea ni ya kustaajabisha. Yule aliyekuwa nguli wa kuanika maovu ya Lowassa na genge lake sasa kageuka mlamba miguu. Aibu yake na gazeti lake
 
Back
Top Bottom