Hongereni Raia Mwema, pole sana Mawio

Hongereni Raia Mwema, pole sana Mawio

Kosa kubwa ni kutowfunga wezi. Hata baada ya kuandika kiasi kile na maushahidi kibao akaishia kumwagiwa tindikali tu

Sa yeye afanyeje
 
Kweli kabisa ndugu, nakupongeza sana kwa kulisema hilo... Tanzania ni shidaaa... Yale magazeti yote tuliyokua tuna yanaheshimu yamekua majanga... Mpaka unajiuliza nini kimewapata... Hakuna Nipashe, Mwananchi wala Mawio... Yote yamekua usanii mtupu... Wanafikiri wote tuna maslahi kwa Lowasa au CCM... Hawaoni kwamba kuna wengine hatumjui Lowasa wala Magufuli na tunahitaji balanced stories ili tukamilishe ma amuzi yetu, SHAME ON THEM. Niwapongeze sana RAIA MWEMA gazeti pekee lililo simama imara na mtu mwenye akili timamu unaweza kulisoma kwa sasa... Hongereni sana and please msibadilike, ndio tegemeo kwa sasa, wengine wote njaa tupu..,
 
Nilishaachana na magazeti ya Tz mpaka uchaguzi upite ila kuna ambayo sitakaa niyasome tena hata uchaguzi ukipita kwasababu yanatumikia wezi wa Taifa letu ..mfano gazeti la mawio na Nipashe
 
Kosa kubwa ni kutowfunga wezi. Hata baada ya kuandika kiasi kile na maushahidi kibao akaishia kumwagiwa tindikali tu

Sa yeye afanyeje

Si kub aliandika eti EL ndiyo alimumwagia tindikali? Kubenea huyu huyu ndiyo alisema wazi kw tram EL ndiyo walifanya kale kamchezo, leo amekuwa best friend.
 
Back
Top Bottom