raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,866
- 36,990
Wewe kwako wamekuwa vizur kwenye nn bruh[emoji3059] saana wako vizuri mkuu
Wewe kwako wamekuwa vizur kwenye nn bruh[emoji3059] saana wako vizuri mkuu
Huu utaratibu wa kuuliza dini umeanza lini?Ninapowafanyia usajili na dini zao tunauliza
Wako smart-kimavazi muda wote wako safi kabisaWewe kwako wamekuwa vizur kwenye nn bruh
Huu utafiti wako ni 🚮 na hizo pongezi zako ni za kinafiki. Wenye akili watakupuuza. Na wapuuzi kama wewe mwenyewe, ndiyo watakuunga mkono.Wakuu kwema,
Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza wakina mama na wanawake wote wa kiislam kwa malezi Bora kabisa ya watoto wenu...
Hamtaki Jamaa aseme ukweli?Huu utafiti wako ni 🚮 na hizo pongezi zako ni za kinafiki. Na usikute ni wale wale tu, halafu ukaamua kukibika koti la mtu mwingine.
Mimi nimesema kitu ninachokiona na kukijua..suala la kuniunga mkono au kutokuniunga nafikiri sio biashara yanguHuu utafiti wako ni [emoji706] na hizo pongezi zako ni za kinafiki. Wenye akili watakupuuza. Na wapuuzi kama wewe, watakuunga mkono.
Hakuna chochote cha maana unachokiona kwenye huo utafiti wako zaidi ya ujinga tu.Mimi nimesema kitu ninachokiona na kukijua..suala la kuniunga mkono au kutokuniunga nafikiri sio biashara yangu
Hapo kuna waislam wanao shika din kweli na wakristo wanao shika din lazma watoto wao wawe na adabu kulinganisha na hawa wengneWakuu kwema,
Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza wakina mama na wanawake wote wa kiislam kwa malezi Bora kabisa ya watoto wenu...
Watakao muunga mkono wote wataingia kwenye kundi la watu wajinga kama huyo mtafiti uchwara.Hamtaki Jamaa aseme ukweli?
Nonsense, mtoto wa miaka 5 anakwenda masjid gani? Kituo chako unatumia muongozo UPI kukiendesha? Una meet requirements?mimi huwa nauliza dini kwa lengo kujua ni watoto wapi nitawapa ruhusa siku ya ijuma kuhudhuria masjid..so ni kwa nia njema kabisa mkuu