a hope
Senior Member
- Oct 23, 2022
- 163
- 342
Wakuu kwema,
Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza wakina mama na wanawake wote wa kiislam kwa malezi Bora kabisa ya watoto wenu.
Kwanza kabisa mimi si wa dini hiyo, ila naomba tu niwe mkweli. Wahenga walisema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Katika suala zima la malezi ya watoto dini ya kiislam ipo vizuri mno.
Nimefanikiwa kujiari na ninajihusisha na masuala mazima ya childhood & early education na kwa siku moja ninawahudumia watoto zaidi ya mia moja.
Kwa kweli nina miaka 3 kazini. Sijawahi kupata experience mbaya na watoto wa kiislam na wengi wao wana tabia njema sana zinazofanana.
Kwanza watoto wao wako smart na nadhifu sana, asafi mno jambo linalopelekea wawe vizuri pia mentally.
Sijawahi kusikia wakitumia abusive language kwa wenzao kabisa
Upande wa christians pia na wao wako vizuri kwenye malezi lakini wakina mama wa kiislam wametuacha mbali sana kwenye upande huo. Hongera zao sana hawa wadada wa kiislam
Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza wakina mama na wanawake wote wa kiislam kwa malezi Bora kabisa ya watoto wenu.
Kwanza kabisa mimi si wa dini hiyo, ila naomba tu niwe mkweli. Wahenga walisema mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Katika suala zima la malezi ya watoto dini ya kiislam ipo vizuri mno.
Nimefanikiwa kujiari na ninajihusisha na masuala mazima ya childhood & early education na kwa siku moja ninawahudumia watoto zaidi ya mia moja.
Kwa kweli nina miaka 3 kazini. Sijawahi kupata experience mbaya na watoto wa kiislam na wengi wao wana tabia njema sana zinazofanana.
Kwanza watoto wao wako smart na nadhifu sana, asafi mno jambo linalopelekea wawe vizuri pia mentally.
Sijawahi kusikia wakitumia abusive language kwa wenzao kabisa
Upande wa christians pia na wao wako vizuri kwenye malezi lakini wakina mama wa kiislam wametuacha mbali sana kwenye upande huo. Hongera zao sana hawa wadada wa kiislam