Hongera Zitto Zuberi Kabwe

Hongera Zitto Zuberi Kabwe

Pia tambua amewazid wagombea wengine zaidi ya kura elfu kumi na nne.

Matokeo yake hayakuwa na utata mana hayachakachuliki.
Moshi Mjini mgombea wa CHADEMA alimzidi WA CCM kwa kura 30,000 lakini matokeo yalichukua siku mbili kutangazwa tena mbele ya mitutu ya bunduki na magari ya kuwasha.
 
ZZK aliingia mitini kampeni za Mma Mgwira,
Mama wa watu anajiendea tu ka robot,

Kina Mchange wakadhani nao watapata ubunge imekula kwao
 
Mgombea wao hakuvuka kura 0.01 nalo tukumbyke ila amejitahidi toka 0.001
 
Hongera Zitto kwa jitihada zako za kufifisha upinzani. Poleni sana Machali na Mkosamali.

Naona mnatafuta mtu wa kumlaumu kwa ujinga wenu.

Tatizo wabunge wengi wanapiga kelele tu mjengoni bila kuwatumikia wananchi waliowachagua huko majimboni matokeo yake wanapopumzishwa wanalilia ujinga.


Hongera sana Zitto Kabwe.
 
Mbona magufuli kapata 25% lakini NEC wamempa 58%,kuzidiwa kura ni uratibu tu wa NEC wakiamua uzidi hata kwa elfu 50 inawezekana au haujaona mbagala cuf wamezidiwa kura karibu elfu 70.

Bavicha mnafurahisha sana.
 
Mbona magufuli kapata 25% lakini NEC wamempa 58%,kuzidiwa kura ni uratibu tu wa NEC wakiamua uzidi hata kwa elfu 50 inawezekana au haujaona mbagala cuf wamezidiwa kura karibu elfu 70.

Mwisho wa siku matokeo yatakayo tangazwa na tume ndio matokeo halisi.Haijalishi yameangukia upande gani na ndio matokeo yatakayobaki katika takwimu.
 
Mgombea wao hakuvuka kura 0.01 nalo tukumbyke ila amejitahidi toka 0.001
 
Moshi Mjini mgombea wa CHADEMA alimzidi WA CCM kwa kura 30,000 lakini matokeo yalichukua siku mbili kutangazwa tena mbele ya mitutu ya bunduki na magari ya kuwasha.

Mkuu matokeo ya zitto yalitangazwa rasmi kesho yake jioni baada ya siku ya uchaguzi.

Matokeo yanayobandikwa vituoni ndio yaliyoonyesha zitto kashinda na hayakuwa matokeo rasmi.
 
Hongera zitto,kuna watu wana roho kama shetani sharti kuwaonyesha jinsi ulivyokuwa unaminywa na Chadema
 
umechukua viti vyote 12 vya udiwani umebeba. umedhihakiwa sana. sasa kachape kazi. ndo maana wahenga walisema kuwa NUNGU SI ATHUMANI. MUNGU ANGEKUWA BINADAMU TUNGEANGAMIA WOTE. hongera.

Naomba kujua halimashauri hii inaundwa na jimbo moja tu?

Je, kata zipo 12 tu katika halimashauri hii?

Asante
 
Back
Top Bottom