Hongera Waziri wa Utumishi Simbachawene, ni kweli teuzi za rushwa zilikithiri

TEMILUGODA

JF-Expert Member
Feb 11, 2012
1,389
285
Bila maneno mengi nakupongeza sana mheshimiwa Waziri George Simbachawene kwa kumulika hili.

Nchi hii wapo wakuu wa idara mbalimbali na wasaidizi wao ambao wapo waliopo kwa faida ya Rushwa. Wapo walio toa pesa na wapo walio toa ngono hadi ndoa kuvunjika.

Kwa agizo lako mheshimiwa najua wahusika wamekuelewa,ni wakati sasa wa ethical leaders kutawala nchi nzima.

Uzalendo ulipotea sana na ndio maana juzi kati nikiwa halmashauri ya Lushoto nilishuhudia kauli ya kuumiza kutoka kwa kiongozi mmoja abasema yete siyo mzalendo, hayo ni mambo ya umasikini, yeye kazi yake ni kutafuta pesa tu, NILICHOKA, hii imenikumbusha Leo baada ya kukusikua mheshimiwa Simbachawene.

Mimi kama mtumishi wako tena Mzalendo hasa nakupongeza na udumu katika kututumikia sisi watumishi wako na tuko tayari kudumisha maadili ya kazi kwa maendeleo ya Taifa hili.

Tunashudia watu wamepewa madaraka ya uongozi wa taasisi ili hali hawana uwezo kabisa, yote hiyo ni matokeo ya Rushwa.
 
Bila maneno mengi nakupongeza sana mheshimiwa Waziri George Simbachawene kwa kumulika hili.

Nchi hii wapo wakuu wa idara mbalimbali na wasaidizi wao ambao wapo waliopo kwa faida ya Rushwa. Wapo walio toa pesa na wapo walio toa ngono hadi ndoa kuvunjika.

Kwa agizo lako mheshimiwa najua wahusika wamekuelewa,ni wakati sasa wa ethical leaders kutawala nchi nzima.

Uzalendo ulipotea sana na ndio maana juzi kati nikiwa halmashauri ya Lushoto nilishuhudia kauli ya kuumiza kutoka kwa kiongozi mmoja abasema yete siyo mzalendo, hayo ni mambo ya umasikini, yeye kazi yake ni kutafuta pesa tu, NILICHOKA, hii imenikumbusha Leo baada ya kukusikua mheshimiwa Simbachawene.

Mimi kama mtumishi wako tena Mzalendo hasa nakupongeza na udumu katika kututumikia sisi watumishi wako na tuko tayari kudumisha maadili ya kazi kwa maendeleo ya Taifa hili.

Tunashudia watu wamepewa madaraka ya uongozi wa taasisi ili hali hawana uwezo kabisa, yote hiyo ni matokeo ya Rushwa.

Kasema nini na lini?
Katoa maagizo gani???
Yaaani hujaeleweka…
Hebu hata Quote basi alichosema na maelekezo tusome humu!
 
Kasema nini na lini?
Katoa maagizo gani???
Yaaani hujaeleweka…
Hebu hata Quote basi alichosema na maelekezo tusome humu!
Alizungumza na maafosa utumishi na viongozi wa tsc kutoka halmashauri zote jijini Dodoma kuwa wale wote wana toa vyeo kwa kada zao wakome vitendo vya Rushwa.
 
Bila maneno mengi nakupongeza sana mheshimiwa Waziri George Simbachawene kwa kumulika hili.

Nchi hii wapo wakuu wa idara mbalimbali na wasaidizi wao ambao wapo waliopo kwa faida ya Rushwa. Wapo walio toa pesa na wapo walio toa ngono hadi ndoa kuvunjika.

Kwa agizo lako mheshimiwa najua wahusika wamekuelewa,ni wakati sasa wa ethical leaders kutawala nchi nzima.

Uzalendo ulipotea sana na ndio maana juzi kati nikiwa halmashauri ya Lushoto nilishuhudia kauli ya kuumiza kutoka kwa kiongozi mmoja abasema yete siyo mzalendo, hayo ni mambo ya umasikini, yeye kazi yake ni kutafuta pesa tu, NILICHOKA, hii imenikumbusha Leo baada ya kukusikua mheshimiwa Simbachawene.

Mimi kama mtumishi wako tena Mzalendo hasa nakupongeza na udumu katika kututumikia sisi watumishi wako na tuko tayari kudumisha maadili ya kazi kwa maendeleo ya Taifa hili.

Tunashudia watu wamepewa madaraka ya uongozi wa taasisi ili hali hawana uwezo kabisa, yote hiyo ni matokeo ya Rushwa.
No wonder wewe ni msomi haki... umeandika kitu gani?

Uchawi ukizidi ni hatari.
 
Rushwa ya ngono kwenye ofisi za umma inapaswa ichunguzwe kwa ukaribu sana, mahusiano ya kingono kwenye Ofisi za umma ndio chanzo kikuu cha ukosefu wa maadili.

haiwezekani mtumishi awe na mahusiano ya kingono kazini halafu ukategemea awe mwadilifu. Lazima rushwa ya ngono na mahusiano ya kingono kwenye ofisi za umma yadhibitiwe ili uadilifu utawale.
 
Back
Top Bottom