Rais uhuru Kenyatta amekutana na Malkia Elizabeth wa Uingereza mjini London na kufanya naye mazungumzo ikiwepo juu ya maendeleo ya watu wa Kenya na uchumi kwa ujumla,hongera sana kiongozi bora wa AfrikaView attachment 751257View attachment 751258
Rais uhuru Kenyatta amekutana na Malkia Elizabeth wa Uingereza mjini London na kufanya naye mazungumzo ikiwepo juu ya maendeleo ya watu wa Kenya na uchumi kwa ujumla,hongera sana kiongozi bora wa AfrikaView attachment 751257View attachment 751258
Pambafuuu wewe ubora wake ni kukutana n.a. malikia au?
kupongeza na kukubali mema mazuri hata kama ni moja kati ya mia ni sehemu iliyosahaulika na watu wengi.Mkuu kwa ushauri wako unaonekana una uwezo wa kumpongeza yeyote
Kama lengo ni hilo basi amefanikiwa, Uhuru amemuacha Magu by million miles!! U can't compare the twoHapana, lengo lake ni kumlingishia Raisi Magufuli, kwamba ona Mwanaume mwenzako anakutana na Malkia siyo kama wewe mwanaume gani, ona mwenzako mambo kama hayo yaani ni kama vile Mwanamke anavyomsifiia Mwanaume mwingine mbele yako ili kukufanya usikie wivu!
Ndiyo maudhui ya mada yoote hii hakuna kingine, huo ndo ujumbe wake!
Nashukuru kwa ushauri wako na mawazo yako mazuri sana kwa jamii ya wanachama wa jukwaa hilikupongeza na kukubali mema mazuri hata kama ni moja kati ya mia ni sehemu iliyosahaulika na watu wengi.
hakuna mtu ambayw ni mbaya 100% au mzuri 100%. kupongeza ni kuchagua kusifia hicho kizuri unachokiona.
kila mtu anakitu cha kupongezwa, somo ambalo najua kwa siasa zilipokifikisha huwezi kulielewa ila utaona wenyewe wanapongezana.
Kama lengo ni hilo basi amefanikiwa, Uhuru amemuacha Magu by million miles!! U can't compare the two
Misukule ya Lumumba imecharuka hawataki malkia adhalilishwe.
Hongera Uhuru hii week umefanya mambo makubwa kwa inchi yako.
Mbona sijaona sehem kasema raisi wenu haige? Yeye kasifia Kenyata basi mnakuwa mnagubu km wake wenza.Kwa hiyo unamtaka raisi wetu aone wivu? Acha tabia kulinganisha na kuchonganisha Wanaume!