Hongera Uhuru Kenyatta

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Rais uhuru Kenyatta amekutana na Malkia Elizabeth wa Uingereza mjini London na kufanya naye mazungumzo ikiwepo juu ya maendeleo ya watu wa Kenya na uchumi kwa ujumla,hongera sana kiongozi bora wa Afrika
FB_IMG_1524239756914.jpg
FB_IMG_1524239746896.jpg
 
hao wanajuana, walimsaidia hadi mawakili ICC akachomoka.
mbona kuna mengi ya kumpongeza wetu huku mkuu, mara mojamoja unatupia pongezi za kizalendo
 
Pambafuuu wewe ubora wake ni kukutana n.a. malikia au?


Hapana, lengo lake ni kumlingishia Raisi Magufuli, kwamba ona Mwanaume mwenzako anakutana na Malkia siyo kama wewe mwanaume gani, ona mwenzako mambo kama hayo yaani ni kama vile Mwanamke anavyomsifiia Mwanaume mwingine mbele yako ili kukufanya usikie wivu!

Ndiyo maudhui ya mada yoote hii hakuna kingine, huo ndo ujumbe wake!
 
hao wanajuana, walimsaidia hadi mawakili ICC akachomoka.
mbona kuna mengi ya kumpongeza wetu huku mkuu, mara mojamoja unatupia pongezi za kizalendo
Mkuu kwa ushauri wako unaonekana una uwezo wa kumpongeza yeyote
 
Mkuu kwa ushauri wako unaonekana una uwezo wa kumpongeza yeyote
kupongeza na kukubali mema mazuri hata kama ni moja kati ya mia ni sehemu iliyosahaulika na watu wengi.
hakuna mtu ambayw ni mbaya 100% au mzuri 100%. kupongeza ni kuchagua kusifia hicho kizuri unachokiona.
kila mtu anakitu cha kupongezwa, somo ambalo najua kwa siasa zilipokifikisha huwezi kulielewa ila utaona wenyewe wanapongezana.
 
Hapana, lengo lake ni kumlingishia Raisi Magufuli, kwamba ona Mwanaume mwenzako anakutana na Malkia siyo kama wewe mwanaume gani, ona mwenzako mambo kama hayo yaani ni kama vile Mwanamke anavyomsifiia Mwanaume mwingine mbele yako ili kukufanya usikie wivu!

Ndiyo maudhui ya mada yoote hii hakuna kingine, huo ndo ujumbe wake!
Kama lengo ni hilo basi amefanikiwa, Uhuru amemuacha Magu by million miles!! U can't compare the two
 
kupongeza na kukubali mema mazuri hata kama ni moja kati ya mia ni sehemu iliyosahaulika na watu wengi.
hakuna mtu ambayw ni mbaya 100% au mzuri 100%. kupongeza ni kuchagua kusifia hicho kizuri unachokiona.
kila mtu anakitu cha kupongezwa, somo ambalo najua kwa siasa zilipokifikisha huwezi kulielewa ila utaona wenyewe wanapongezana.
Nashukuru kwa ushauri wako na mawazo yako mazuri sana kwa jamii ya wanachama wa jukwaa hili
 
Back
Top Bottom