No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,738
Naanza kwa kusema HATUJACHELEWAA,Mara chache sana nchi kukupa siri ya mafanikio yake mpaka kufikia hatua ya maendeleo iliyofikia.
Imani yangu mimi naamini sekta ya UTALII inazitoa nchi nyingi sana duniani hasa UTALII WA NDANI".Katika miji niliyotembelea duniani UTALII WA NDANI upo juu kuliko huu wa kutegemea watalii wa nje,Bado mpaka leo sijaamini wazungu wanatuzidi nini sisi ndio wenye vivutio vingi vya Asili ukienda huko kwao utakuta wametengeneza MILIMA,WANYAMA MABWAWA MPAKA MITO...Hivyo vitu walivyotengeneza wanavipambapamba hatari kwa nini sisi Hatuwezi wakati tunavyo vya Asili.
>Ushauri wangu Chanel Hii itumike ipasavyo kukuza utalii wa ndani na iwekwe kisasa zaidi kutokana na maendeleo ya teknolojia Tutaona faida yake muda si mrefu pia inahitaji ubunifu wa hali ya Juu!!
Imani yangu mimi naamini sekta ya UTALII inazitoa nchi nyingi sana duniani hasa UTALII WA NDANI".Katika miji niliyotembelea duniani UTALII WA NDANI upo juu kuliko huu wa kutegemea watalii wa nje,Bado mpaka leo sijaamini wazungu wanatuzidi nini sisi ndio wenye vivutio vingi vya Asili ukienda huko kwao utakuta wametengeneza MILIMA,WANYAMA MABWAWA MPAKA MITO...Hivyo vitu walivyotengeneza wanavipambapamba hatari kwa nini sisi Hatuwezi wakati tunavyo vya Asili.
>Ushauri wangu Chanel Hii itumike ipasavyo kukuza utalii wa ndani na iwekwe kisasa zaidi kutokana na maendeleo ya teknolojia Tutaona faida yake muda si mrefu pia inahitaji ubunifu wa hali ya Juu!!