VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Kuapishwa kwako leo ni ujumbe tosha kwetu. Kwamba umri si lolote kwenye uongozi. 89 yako ni kuu.Kinachotakiwa ni uwezo,dira na mwongozo. Kila la kheri kaka Mugabe. Linda nchi yako. Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam