ustadhijuma
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 3,020
- 1,968
huku kwetu viwanda vya kuuza kachori na maandazi vimejaa tele
Duuuuuh kweli watz tuna safari ndefu kutoboa,kwahiyo hata jembe la mkono ni kiwanda,mwenye saluni ni kiwanda,mwenye daladala ni kiwanda,mwenye baiskeli kiwanda,bodaboda ni kiwanda.......kwa mujibu wa wako wa machine ndio kiwanda:Kiwanda ni nini? Ni sehemu yeyote inayozalisha kwa mashine.
Mashine ni mini? Ni kitu chochote chenye kani, egemeo na gurudumu. Sayansi std 5
Taarifa ya mwijage inaonyesha kwamba hata wale wanaofunga yale maji ya kunywa kwenye mifuko ya ice cream wamo kwenye kundi la wamiliki viwanda .Mleta uzi acha kuisanifu serekali, kama hivyo unavyovitaja ndio viwanda mbona nchi hii ni ya viwanda siku nyingi!!