Hongera rais Magufuli na serikali yako. Sasa viwanda kila kona, wavivu ndio wamekalia kukuponda!

mr gentleman

JF-Expert Member
Aug 1, 2012
3,223
4,679
Kwanza kabisa natoa pongezi za dhati kwa serikali yako rais Magufuli kwa juhudi kubwa ya kurudisha nidhamu serikalini na mitaani ama kwa hakika namba inasomeka haswa na wapiga dili kuanzia juu mpaka chini kabisa.

Pili natoa pongezi kwa kutuletea Tanzania ya viwanda mpaka sasa tunaona uchumi unaanza kuimarika, pesa inaongezeka thamani na watu wanaanza kujituma na kuanzisha viwanda vidogo vidogo. Jamani lazima tutambue viwanda sio lazima majengo makubwa makubwa kama ya Dangote ata sisi mitaani tunaweza kuanzisha viwanda.

Ukiwa na cherehani yako hicho ni kiwanda, ukiwa na sindano yako ya kushonea vitu kama mikeka hicho ni kiwanda, ukiwa na nyundo na msumeno hicho ni kiwanda, ukiwa na blender hicho ni kiwanda..... Watanzania lazima tuamke tuache kulalamika na kulialia tukisubiri wazungu ndo watuletee viwanda au serikali itujazie mapesa mfukoni tuchangamkie hii fursa ya uwekezaji wa viwanda vidogo. Tuache kupenda kushabikia siasa, wewe unashabikia sijui Lema kama Mandela mwenzio siasa ndio kiwanda chake.

Tumuunge mkono rais, maana rais Magufuli sio mtu wa mchezo mchezo kabla hujakata funua yeye kashakufunika.
 
Kwanza kabisa natoa pongezi za dhati kwa serikali yako JPM kwa juhudi kubwa ya kurudisha nidhamu serikalini na mitaani ama kwa hakika namba inasomeka haswa na wapiga dili kuanzia juu mpaka chini kabisa.

Pili natoa pongezi kwa kutuletea Tanzania ya viwanda mpaka sasa tunaona uchumi unaanza kuimarika, pesa inaongezeka thamani na watu wanaanza kujituma na kuanzisha viwanda vidogo vidogo. Jamani lazima tutambue viwanda sio lazima majengo makubwa makubwa kama ya Dangote ata sisi mitaani tunaweza kuanzisha viwanda.

Ukiwa na cherehani yako hicho ni kiwanda, ukiwa na sindano yako ya kushonea vitu kama mikeka hicho ni kiwanda, ukiwa na nyundo na msumeno hicho ni kiwanda, ukiwa na blender hicho ni kiwanda..... Watanzania lazima tuamke tuache kulalamika na kulialia tukisubiri wazungu ndo watuletee viwanda au serikali itujazie mapesa mfukoni tuchangamkie hii fursa ya uwekezaji wa viwanda vidogo. Tuache kupenda kushabikia siasa, wewe unashabikia sijui Lema kama Mandela mwenzio siasa ndio kiwanda chake.

Tumuunge mkono rais, maana JPM sio mtu wa mchezo mchezo kabla ujakata funua yeye kashakufunika.
Sahihi mkuu nimekusoma
 
Kwanza kabisa natoa pongezi za dhati kwa serikali yako JPM kwa juhudi kubwa ya kurudisha nidhamu serikalini na mitaani ama kwa hakika namba inasomeka haswa na wapiga dili kuanzia juu mpaka chini kabisa.

Pili natoa pongezi kwa kutuletea Tanzania ya viwanda mpaka sasa tunaona uchumi unaanza kuimarika, pesa inaongezeka thamani na watu wanaanza kujituma na kuanzisha viwanda vidogo vidogo. Jamani lazima tutambue viwanda sio lazima majengo makubwa makubwa kama ya Dangote ata sisi mitaani tunaweza kuanzisha viwanda.

Ukiwa na cherehani yako hicho ni kiwanda, ukiwa na sindano yako ya kushonea vitu kama mikeka hicho ni kiwanda, ukiwa na nyundo na msumeno hicho ni kiwanda, ukiwa na blender hicho ni kiwanda..... Watanzania lazima tuamke tuache kulalamika na kulialia tukisubiri wazungu ndo watuletee viwanda au serikali itujazie mapesa mfukoni tuchangamkie hii fursa ya uwekezaji wa viwanda vidogo. Tuache kupenda kushabikia siasa, wewe unashabikia sijui Lema kama Mandela mwenzio siasa ndio kiwanda chake.

Tumuunge mkono rais, maana JPM sio mtu wa mchezo mchezo kabla ujakata funua yeye kashakufunika.

Daaah! No comment.
 
Ukiwa na cherehani yako hicho ni kiwanda, ukiwa na sindano yako ya kushonea vitu kama mikeka hicho ni kiwanda, ukiwa na nyundo na msumeno hicho ni kiwanda, ukiwa na blender hicho ni kiwanda..... Watanzania lazima tuamke tuache kulalamika na kulialia tukisubiri wazungu ndo watuletee viwanda au serikali itujazie mapesa mfukoni tuchangamkie hii fursa ya uwekezaji wa viwanda vidogo. Tuache kupenda kushabikia siasa, wewe unashabikia sijui Lema kama Mandela mwenzio siasa ndio kiwanda chake.
Tumuunge mkono rais, maana JPM sio mtu wa mchezo mchezo kabla ujakata funua yeye kashakufunika.

Haya tumeona ulichokiandika mheshimiwa, ila yafuatayo ndio aina za viwanda alivyoahidi mh rais.
Songea. Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli ameahidi kuongeza ajira kwa asilimia 40 kupitia sekta ya viwanda nchini iwapo atapatiwa ridhaa ya kuwa rais.

Na kwa kauli yake jamaa yenu aliahidi viwanda vikubwa(manufacturing industries) na mjenzi wa viwanda atakuwa ni serikali
“Tunataka kujenga Tanzania yenye viwanda kwa sababu awali, hata viwanda tulivyokuwa tunavianzisha vilikuwa havifanyi kazi ipasavyo, hapa palikuwa pana kiwanda cha tumbaku lakini kimekufa. Sasa lazima tuvifufue ili Watanzania wapate ajira,” alisema Dk Magufuli.

Na kumalizia kocha wetu wa timu alituahidi viwanda vikubwa vikubwa na si light industries kila mkoa kitajengwa
Alisema katika uongozi wake, atahakikisha kila mkoa una viwanda vikubwa kutokana na mahitaji ya eneo husika ili sekta hiyo ichangie kukuza ajira kwa asilimia 40.
Source: Magufuli aahidi ajira viwandani

Kwa hiyo mkuu usitake kumlisha maneno raisi wetu, sisi tunamuunga mkono kabisa katika kujenga viwanda VIKUBWA kila mkoa katika miaka mitano kama alivyoahidi kwenye kampeni hivyo raisi hakuwahi kusema cherehani ni viwanda na cherehani zipo tangu enzi enzi.
 
Mleta uzi acha kuisanifu serekali, kama hivyo unavyovitaja ndio viwanda mbona nchi hii ni ya viwanda siku nyingi!!

mkuu ukienda nchi kama Thailand utashangaa namna wanavyothamini viwanda vidogo vidogo kama hivyo nilivyotaja.. Vimeajiri watu wengi sana huko na vinazalisha sana.
 
Mwaka umeisha, motisha kwa wawekezji wa dani na wa nje zinapunguzwa au kuondolewa, matamko ya udhalilishaji yanashamiri, morale ya uwajibikaji inashuka na nidhamu ya woga inaongezeka! Kwanini?

Toka mwaka uanze kazi ni kuteua, kutengua na kutumbua huku maneno na vitendo ikidhihirisha kukosekana kwa utashi wa kisiasa kuwa na Tanzania ya viwanda.

Sasa misifa sifa yote hii ni ya nini ilhali ukweli uko wazi? Ngoma ikivuma sana hatimaye itapasuka. Na hii ishavuma sana!
 
Aisee sababu na hii blender yangu inayonichakatia mananasi imeingizwa kwenye group la viwanda vya kati ngoja niwahi brela nikakisajili wasije wakaniburuza kortini kwa uhujumu uchumi.


Think big! unaweza kufanya uzalishaji mkubwa ukijipangavizuri.
 
Kiwanda ni nini? Ni sehemu yeyote inayozalisha kwa mashine.
Mashine ni mini? Ni kitu chochote chenye kani, egemeo na gurudumu. Sayansi std 5
 
Hahhaha serikali ya mizuka, niliwaambia rafiki zangu dodoma kama mnandoto ya serikali kuhamia dodoma basi amkemi hakuna kitu kama hicho, ni sawa na hii ya viwanda hakuna kitu, labda kama viwanda kama alivyosema mleta uzi
 
Kwanza kabisa natoa pongezi za dhati kwa serikali yako rais Magufuli kwa juhudi kubwa ya kurudisha nidhamu serikalini na mitaani ama kwa hakika namba inasomeka haswa na wapiga dili kuanzia juu mpaka chini kabisa.

Pili natoa pongezi kwa kutuletea Tanzania ya viwanda mpaka sasa tunaona uchumi unaanza kuimarika, pesa inaongezeka thamani na watu wanaanza kujituma na kuanzisha viwanda vidogo vidogo. Jamani lazima tutambue viwanda sio lazima majengo makubwa makubwa kama ya Dangote ata sisi mitaani tunaweza kuanzisha viwanda.

Ukiwa na cherehani yako hicho ni kiwanda, ukiwa na sindano yako ya kushonea vitu kama mikeka hicho ni kiwanda, ukiwa na nyundo na msumeno hicho ni kiwanda, ukiwa na blender hicho ni kiwanda..... Watanzania lazima tuamke tuache kulalamika na kulialia tukisubiri wazungu ndo watuletee viwanda au serikali itujazie mapesa mfukoni tuchangamkie hii fursa ya uwekezaji wa viwanda vidogo. Tuache kupenda kushabikia siasa, wewe unashabikia sijui Lema kama Mandela mwenzio siasa ndio kiwanda chake.

Tumuunge mkono rais, maana rais Magufuli sio mtu wa mchezo mchezo kabla hujakata funua yeye kashakufunika.
Ni kweli kabisa mkuu. Nafurahishwa na utendaji wa rais. Ana nia njema na taifa lake lakini kuna baadhi ya mambo ambayo inatakiwa aelekezwe maana na yeye ni mtu kama sisi.
Kwa mfano suala la kuwapa support hao wanao anzisha viwanda vidogo kwa ajir ya kujikimu. Angeweza kupunguza baadhi ya gharama za maisha ili huyu naye wa chini aweze japo kujiwekea akiba kitu ambacho kingeweza kuongeza morali. Mfano kwenye nishati ya umeme. Ilitakiwa hawa watu wapate umeme kwa gharama nafuu. Nimesikia mkaa nao unakuja kupanda bei. Hii inaonyesha ni namna gani mh haonyeshi ushirikiano kwa wananchi wa hali ya chini wenye viwanda vidogo vya kuweza kuwasaidia.
Najua wana nia njema ya kulinda mazingira, lakini ilitakiwa wapunguze hizi njia mbadala ili kuendana na upambanaji wa mazingira
 
Kwanza kabisa natoa pongezi za dhati kwa serikali yako rais Magufuli kwa juhudi kubwa ya kurudisha nidhamu serikalini na mitaani ama kwa hakika namba inasomeka haswa na wapiga dili kuanzia juu mpaka chini kabisa.

Pili natoa pongezi kwa kutuletea Tanzania ya viwanda mpaka sasa tunaona uchumi unaanza kuimarika, pesa inaongezeka thamani na watu wanaanza kujituma na kuanzisha viwanda vidogo vidogo. Jamani lazima tutambue viwanda sio lazima majengo makubwa makubwa kama ya Dangote ata sisi mitaani tunaweza kuanzisha viwanda.

Ukiwa na cherehani yako hicho ni kiwanda, ukiwa na sindano yako ya kushonea vitu kama mikeka hicho ni kiwanda, ukiwa na nyundo na msumeno hicho ni kiwanda, ukiwa na blender hicho ni kiwanda..... Watanzania lazima tuamke tuache kulalamika na kulialia tukisubiri wazungu ndo watuletee viwanda au serikali itujazie mapesa mfukoni tuchangamkie hii fursa ya uwekezaji wa viwanda vidogo. Tuache kupenda kushabikia siasa, wewe unashabikia sijui Lema kama Mandela mwenzio siasa ndio kiwanda chake.

Tumuunge mkono rais, maana rais Magufuli sio mtu wa mchezo mchezo kabla hujakata funua yeye kashakufunika.
Naunga mkono hoja.
Pia tuna Viwanda vingi sana vya kutengeneza Pombe ya Miwa (Boha),Pombe ya Nazi (Mnazi) bila kusahau Viwanda vya kutengeneza Gongo.
Salute
 
Haya tumeona ulichokiandika mheshimiwa, ila yafuatayo ndio aina za viwanda alivyoahidi mh rais.


Na kwa kauli yake jamaa yenu aliahidi viwanda vikubwa(manufacturing industries) na mjenzi wa viwanda atakuwa ni serikali


Na kumalizia kocha wetu wa timu alituahidi viwanda vikubwa vikubwa na si light industries kila mkoa kitajengwa

Source: Magufuli aahidi ajira viwandani

Kwa hiyo mkuu usitake kumlisha maneno raisi wetu, sisi tunamuunga mkono kabisa katika kujenga viwanda VIKUBWA kila mkoa katika miaka mitano kama alivyoahidi kwenye kampeni hivyo raisi hakuwahi kusema cherehani ni viwanda na cherehani zipo tangu enzi enzi.

Mkuu JPM alihaidi Tanzania ya viwanda vikubwa na vidogo. Vikubwa bado vinakuja tumpe muda hivi avioti kama uyoga ila viwanda vidogo vidogo ata sisi tunaweza wekeza. Mbona Ngowi anakiwanda cha nguo anavalisha mpaka marais wa nje na ukiingia pale unakuta cherehani tu? Mbona mheshimiwa Lema anakaribia kuanzisha kiwanda cha toothpick bila kuisubiria serikali. Tubadili mentality tuingie kwenye viwanda.
 
SAWA BWANA HATA ILE SEHEMU YA NYUMBA YAKO ULIYOITENGA KAMA JIKO NI KIWANDA KIWANDA KIDOGO.MH HAPA KAZI TU.
 
Back
Top Bottom