Hongera Rais Magufuli kwa kutukumbushia Damu ya Dr. Ulimboka

Nkobe

JF-Expert Member
Feb 17, 2013
2,204
3,277
Nimekukumbuka shujaa wa masikini Ulimboka, nakumbuka ulipiga kelele saaana wewe na madaktari wenzako ukiomba kuboreshwa kwa hospitali ya Muhimbilli, pia maslahi ya madaktari . Hakika baba uliteseka kwa ajili yetu wananchi wa maisha ya kati na masikini. Pamoja na hayo, baba uliambulia kupigwa kipigo cha mbwa mwizi na kung'olewa meno bila ganzi. Kibaya zaidi baba ukiwa na maumivu makali, ukatupwa kwenye msitu wa Mabwepande ukiawa nusu mfu, baridi, wadudu vyote vikawa juu yako baba huku ukichwagizwa na maumivu ya meno yaliyong'olewa bila ganzi.

Baada ya miaka mitatu Baba Rais Magufuli anakwenda Muhimbili na kushuhudia uozo aliokuwa ukiupigia kelele Ulimboka. Kitendo cha wewe baba kwenda Muhimbili na kuibua uozo, umeumbua Mashetani wa serikali iliyopita waliomng'oa meno Ulimboka. Sipependi kukulaumu Baba Magufuli, maana wewe wakati ule usingeweza kusema chochote maana ulikuwa chini ya Mfalme wa Msoga, ungesema kitu uenda hata leo usingekuwa Rais.

Namalizia kwa kusema, baba Ulimboka Watanzania wenye busara tukimuona Magufuli anaangaika na uozo wa Muhimbili, daima tunakukumbuka kwa damu yako iliyovuja kwa ajili ya Watanzania, daima utaendelea kuwa moyoni mwetu
 
Nimekukumbuka shujaa wa masikini Ulimboka, nakumbuka ulipiga kelele saaana wewe na madaktari wenzako ukiomba kuboreshwa kwa hospitali ya Muhimbilli. Hakika baba ulitesema kwa ajili yetu wananchi wa maisha ya kati na masikini. Pamoja na hayo, baba uliambulia kupigwa kipigo cha mbwa mwizi na kung'olewa meno bila ganzi. Kibaya zaidi baba ukiwa na maumivu makali, ukatupwa kwenye msitu wa Mabwepande ukiawa nusu mfu, baridi, wadudu vyote vikawa juu yako baba huku ukichwagizwa na maumivu ya meno yaliyong'olewa bila ganzi.

Baada ya miaka mitatu Baba Rais Magufuli anakwenda Muhimbili na kushuhudia uozo aliokuwa ukiupigia kelele Ulimboka. Kitendo cha wewe baba kwenda Muhimbili na kuibua uozo, umeumbua Mashetani wa serikali iliyopita waliomng'oa meno Ulimboka. Sipependi kukulaumu Baba Magufuli, maana wewe wakati ule usingeweza kusema chochote maana ulikuwa chini ya Mfalme wa Msoga, ungesema kitu uenda hata leo usingekuwa Rais.

Namalizia kwa kusema, baba Ulimboka Watanzania wenye busara tukimuona Magufuli anaangaika na uozo wa Muhimbili, daima tunakukumbuka kwa damu yako iliyovuja kwa ajili ya Watanzania, daima utaendelea kuwa moyoni mwetu

Na bado baadhi yetu tukamrembesha kwa matusi na kashfa leo tunapiga MAKOFI eti mwenzetu ametuona!!!!!!!!Inauma lakini tufanyeje.Leo Ulimboka ni SHUJAA wa MUHIMBILI.
 
Watanzania wanafiki sana yaani ulimboka mpaka kufanywa hanithi kwa ajili yao wakawa wanakenua tuu huyu anaonge a maneno matupu lakini ni vigelele waliomwaga damu na vilema vya maisha walisimangwa na kupewa kila aina ya majina halafu watu waliojisahau kama akina lizaboni wapo kufagalia makalio ya watu kuwasifu huku mashujaa wakisahaulika
 
Nimekukumbuka shujaa wa masikini Ulimboka, nakumbuka ulipiga kelele saaana wewe na madaktari wenzako ukiomba kuboreshwa kwa hospitali ya Muhimbilli. Hakika baba ulitesema kwa ajili yetu wananchi wa maisha ya kati na masikini. Pamoja na hayo, baba uliambulia kupigwa kipigo cha mbwa mwizi na kung'olewa meno bila ganzi. Kibaya zaidi baba ukiwa na maumivu makali, ukatupwa kwenye msitu wa Mabwepande ukiawa nusu mfu, baridi, wadudu vyote vikawa juu yako baba huku ukichwagizwa na maumivu ya meno yaliyong'olewa bila ganzi.

Baada ya miaka mitatu Baba Rais Magufuli anakwenda Muhimbili na kushuhudia uozo aliokuwa ukiupigia kelele Ulimboka. Kitendo cha wewe baba kwenda Muhimbili na kuibua uozo, umeumbua Mashetani wa serikali iliyopita waliomng'oa meno Ulimboka. Sipependi kukulaumu Baba Magufuli, maana wewe wakati ule usingeweza kusema chochote maana ulikuwa chini ya Mfalme wa Msoga, ungesema kitu uenda hata leo usingekuwa Rais.

Namalizia kwa kusema, baba Ulimboka Watanzania wenye busara tukimuona Magufuli anaangaika na uozo wa Muhimbili, daima tunakukumbuka kwa damu yako iliyovuja kwa ajili ya Watanzania, daima utaendelea kuwa moyoni mwetu
Ana bahati sana wangeweza kumuua kabisa nani anapenda pesa iende Muhimbili badala ya kwenda kwenye mifuko ya kwake, mwanae na ndugu zake wachache ambao kwasasa tunashuhudia wakitumbuliwa majipu mmoja baada ya mwingine?. Kwa mtazamo wangu ni kwamba Ulimboka alifanyiwa yale aliyofanyiwa ili maslahi ya nilio wataja hapo juu yasiathiriwe hata chembe, kivipi? kwa mfano unaposema huduma za afya na maslahi ya madaktari viongezwe inamaanisha pesa ikusanywe zaidi kuhudimia hayo maeneo, na kukusanya zaidi pesa kungewagusa au kuwayumbisha wakwepa kodi wakuu ambao baada tu ya rafiki yao kumaliza kipindi chake cha kutawala na kuchuma baadhi waliamua kutangaza kufirisika maana katili mwenzao anastaafu
 
Ulimboka huyu anafaa kuitwa shujaa Mungu akupe shufaa huko ulipo
 
Ulimboka na madaktari wenzie walikuwa wanapigania mishahara yao msitake kumpa sifa asiyostahiki. Sidhani kama waligoma kwa ajili ya kudai vitanda au maboresho ya miundombinu ya Muhimbili na laiti kama wangegoma kwa ajili hiyo wala asingejeruhiwa vile. Ila kwa sababu ya kudai masilahi yao binafsi ndio yakamkuta hayo ya kutolewa nguvu zake za kuzalisha. Sijaona ushujaa wa Ulimboka katika Muhimbili ya sasa zaidi ya uzalendo wa muheshimiwa Raisi na wasaidizi wake.
 
Ulimboka huyu anafaa kuitwa shujaa Mungu akupe shufaa huko ulipo

Kuna haja ya kuwa na siku ya maadhimisho ya kukumbuka ushujaa wa huyu ndugu, sipati picha wale waliohusika kumfayia ule unyama leo wanamuonaje Magufuli
 
Ulimboka na madaktari wenzie walikuwa wanapigania mishahara yao msitake kumpa sifa asiyostahiki. Sidhani kama waligoma kwa ajili ya kudai vitanda au maboresho ya miundombinu ya Muhimbili na laiti kama wangegoma kwa ajili hiyo wala asingejeruhiwa vile. Ila kwa sababu ya kudai masilahi yao binafsi ndio yakamkuta hayo ya kutolewa nguvu zake za kuzalisha. Sijaona ushujaa wa Ulimboka katika Muhimbili ya sasa zaidi ya uzalendo wa muheshimiwa Raisi na wasaidizi wake.
Usijitie upofu, walisema MAZINGIRA YA KAZI NI MAGUMU, wagonjwa tele wako chini huyo daktari awahudumie amechuchumaa ni kazi rahisi hiyo, dokta wa kike kavaa kigauni chake aende akachuchumae mbele ya wagonjwa tena wengi ni rika la baba zake hiyo kazi itaenda? Hata kama walidai nyongeza ya mishahara walidai pia kuboreshewa mazingira ya kazi.
 
BANGI NI TATIZO KUBWA SANA T
Nimekukumbuka shujaa wa masikini Ulimboka, nakumbuka ulipiga kelele saaana wewe na madaktari wenzako ukiomba kuboreshwa kwa hospitali ya Muhimbilli. Hakika baba uliteseka kwa ajili yetu wananchi wa maisha ya kati na masikini. Pamoja na hayo, baba uliambulia kupigwa kipigo cha mbwa mwizi na kung'olewa meno bila ganzi. Kibaya zaidi baba ukiwa na maumivu makali, ukatupwa kwenye msitu wa Mabwepande ukiawa nusu mfu, baridi, wadudu vyote vikawa juu yako baba huku ukichwagizwa na maumivu ya meno yaliyong'olewa bila ganzi.

Baada ya miaka mitatu Baba Rais Magufuli anakwenda Muhimbili na kushuhudia uozo aliokuwa ukiupigia kelele Ulimboka. Kitendo cha wewe baba kwenda Muhimbili na kuibua uozo, umeumbua Mashetani wa serikali iliyopita waliomng'oa meno Ulimboka. Sipependi kukulaumu Baba Magufuli, maana wewe wakati ule usingeweza kusema chochote maana ulikuwa chini ya Mfalme wa Msoga, ungesema kitu uenda hata leo usingekuwa Rais.

Namalizia kwa kusema, baba Ulimboka Watanzania wenye busara tukimuona Magufuli anaangaika na uozo wa Muhimbili, daima tunakukumbuka kwa damu yako iliyovuja kwa ajili ya Watanzania, daima utaendelea kuwa moyoni mwetu
ANZANIA
 
Ulimboka na madaktari wenzie walikuwa wanapigania mishahara yao msitake kumpa sifa asiyostahiki. Sidhani kama waligoma kwa ajili ya kudai vitanda au maboresho ya miundombinu ya Muhimbili na laiti kama wangegoma kwa ajili hiyo wala asingejeruhiwa vile. Ila kwa sababu ya kudai masilahi yao binafsi ndio yakamkuta hayo ya kutolewa nguvu zake za kuzalisha. Sijaona ushujaa wa Ulimboka katika Muhimbili ya sasa zaidi ya uzalendo wa muheshimiwa Raisi na wasaidizi wake.

Walikuwa wanadai huduma ziboreshwe km ambavyo wanafanya sasa pamoja na masilahi bora.
 
Ulimboka na madaktari wenzie walikuwa wanapigania mishahara yao msitake kumpa sifa asiyostahiki. Sidhani kama waligoma kwa ajili ya kudai vitanda au maboresho ya miundombinu ya Muhimbili na laiti kama wangegoma kwa ajili hiyo wala asingejeruhiwa vile. Ila kwa sababu ya kudai masilahi yao binafsi ndio yakamkuta hayo ya kutolewa nguvu zake za kuzalisha. Sijaona ushujaa wa Ulimboka katika Muhimbili ya sasa zaidi ya uzalendo wa muheshimiwa Raisi na wasaidizi wake.
Mkuu ebu fuatilia tamko la Madaktari, walisema wanapigania maslahi yao pia na uboreshwaji wa huduma. Walisema kuwa kuna watu wanakufa kwa sababu ya ukosefu wa vifaa
 
Na bado baadhi yetu tukamrembesha kwa matusi na kashfa leo tunapiga MAKOFI eti mwenzetu ametuona!!!!!!!!Inauma lakini tufanyeje.Leo Ulimboka ni SHUJAA wa MUHIMBILI.
kweli ulimboka shujaa aliona mbali akapata mateso sasa wagonjwa raha
 
Ulimboka na madaktari wenzie walikuwa wanapigania mishahara yao msitake kumpa sifa asiyostahiki. Sidhani kama waligoma kwa ajili ya kudai vitanda au maboresho ya miundombinu ya Muhimbili na laiti kama wangegoma kwa ajili hiyo wala asingejeruhiwa vile. Ila kwa sababu ya kudai masilahi yao binafsi ndio yakamkuta hayo ya kutolewa nguvu zake za kuzalisha. Sijaona ushujaa wa Ulimboka katika Muhimbili ya sasa zaidi ya uzalendo wa muheshimiwa Raisi na wasaidizi wake.
well said mr
 
Nimekukumbuka shujaa wa masikini Ulimboka, nakumbuka ulipiga kelele saaana wewe na madaktari wenzako ukiomba kuboreshwa kwa hospitali ya Muhimbilli, pia maslahi ya madaktari . Hakika baba uliteseka kwa ajili yetu wananchi wa maisha ya kati na masikini. Pamoja na hayo, baba uliambulia kupigwa kipigo cha mbwa mwizi na kung'olewa meno bila ganzi. Kibaya zaidi baba ukiwa na maumivu makali, ukatupwa kwenye msitu wa Mabwepande ukiawa nusu mfu, baridi, wadudu vyote vikawa juu yako baba huku ukichwagizwa na maumivu ya meno yaliyong'olewa bila ganzi.

Baada ya miaka mitatu Baba Rais Magufuli anakwenda Muhimbili na kushuhudia uozo aliokuwa ukiupigia kelele Ulimboka. Kitendo cha wewe baba kwenda Muhimbili na kuibua uozo, umeumbua Mashetani wa serikali iliyopita waliomng'oa meno Ulimboka. Sipependi kukulaumu Baba Magufuli, maana wewe wakati ule usingeweza kusema chochote maana ulikuwa chini ya Mfalme wa Msoga, ungesema kitu uenda hata leo usingekuwa Rais.

Namalizia kwa kusema, baba Ulimboka Watanzania wenye busara tukimuona Magufuli anaangaika na uozo wa Muhimbili, daima tunakukumbuka kwa damu yako iliyovuja kwa ajili ya Watanzania, daima utaendelea kuwa moyoni mwetu
Magufuli ni remoted.
 
Ni kweli Dr.Ulimboka uliyaona haya muda mrefu...
. kama JK angekusikia, leo JPM angeanzia mbali zaidi ya kutafuta vitanda.....
 
jengo moja hapo muhimbili lingepewa jinalake kuenzi jitihada zake HALALI zilizozimwa na mapandaovu
 
Nimekukumbuka shujaa wa masikini Ulimboka, nakumbuka ulipiga kelele saaana wewe na madaktari wenzako ukiomba kuboreshwa kwa hospitali ya Muhimbilli, pia maslahi ya madaktari . Hakika baba uliteseka kwa ajili yetu wananchi wa maisha ya kati na masikini. Pamoja na hayo, baba uliambulia kupigwa kipigo cha mbwa mwizi na kung'olewa meno bila ganzi. Kibaya zaidi baba ukiwa na maumivu makali, ukatupwa kwenye msitu wa Mabwepande ukiawa nusu mfu, baridi, wadudu vyote vikawa juu yako baba huku ukichwagizwa na maumivu ya meno yaliyong'olewa bila ganzi.

Baada ya miaka mitatu Baba Rais Magufuli anakwenda Muhimbili na kushuhudia uozo aliokuwa ukiupigia kelele Ulimboka. Kitendo cha wewe baba kwenda Muhimbili na kuibua uozo, umeumbua Mashetani wa serikali iliyopita waliomng'oa meno Ulimboka. Sipependi kukulaumu Baba Magufuli, maana wewe wakati ule usingeweza kusema chochote maana ulikuwa chini ya Mfalme wa Msoga, ungesema kitu uenda hata leo usingekuwa Rais.

Namalizia kwa kusema, baba Ulimboka Watanzania wenye busara tukimuona Magufuli anaangaika na uozo wa Muhimbili, daima tunakukumbuka kwa damu yako iliyovuja kwa ajili ya Watanzania, daima utaendelea kuwa moyoni mwetu
Mkuu hiyo ndio system ya maisha ya watanzania fuata upepo maana waliokuwa wakimbeza dr ulimboka leo hii ndio wana kenua meno kwa kile anachokifanya magu ambacho ndio alikuwa anakipigania dr ulimboka,yaani ukiwa mwana ccm inabidi ujiondoe akili kwanza
 
Watanzania wanafiki sana yaani ulimboka mpaka kufanywa hanithi kwa ajili yao wakawa wanakenua tuu huyu anaonge a maneno matupu lakini ni vigelele waliomwaga damu na vilema vya maisha walisimangwa na kupewa kila aina ya majina halafu watu waliojisahau kama akina lizaboni wapo kufagalia makalio ya watu kuwasifu huku mashujaa wakisahaulika
Hao ndio wana wa lumumba
 
Ulimboka na madaktari wenzie walikuwa wanapigania mishahara yao msitake kumpa sifa asiyostahiki. Sidhani kama waligoma kwa ajili ya kudai vitanda au maboresho ya miundombinu ya Muhimbili na laiti kama wangegoma kwa ajili hiyo wala asingejeruhiwa vile. Ila kwa sababu ya kudai masilahi yao binafsi ndio yakamkuta hayo ya kutolewa nguvu zake za kuzalisha. Sijaona ushujaa wa Ulimboka katika Muhimbili ya sasa zaidi ya uzalendo wa muheshimiwa Raisi na wasaidizi wake.
Wewe kweli ni ngiri mkubwa,dr ulimboka pamoja na kupigania maslahi ya madaktari pia alikuwa anapigania kupatikana kwa vitendea kazi
1455559780854.jpg
 
Back
Top Bottom