ubuntuX
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 1,970
- 2,184
Wakuu
Nitoe pongezi nyingi kwa jeshi letu la polisi likiongozwa na IGP Sirro kufanikisha kuyazima kabisa mauaji ya kutumia risasi yaliyoibukia huko Pwani kwa wilaya za mkuranga, kibiti na rufiji
Katika hili jeshi mmeonesha uadilifu mkubwa, Tanzania hususani Kibiti inarejea katika hali yake ya amani kama ilivyozoeleka hapo awali na shughuli za maendeleo zimejerejea pasi na shaka
Kamanda Sirro katika hili umefanikiwa!
Wananchi tuko pamoja na wewe hakika katika kuhakikisha uharifu unatokomezwa hapa nchini
Hongera saana jeshi la polisi Tanzania, Kibiti bila mauaji imewezekana
Mr Swax
Nitoe pongezi nyingi kwa jeshi letu la polisi likiongozwa na IGP Sirro kufanikisha kuyazima kabisa mauaji ya kutumia risasi yaliyoibukia huko Pwani kwa wilaya za mkuranga, kibiti na rufiji
Katika hili jeshi mmeonesha uadilifu mkubwa, Tanzania hususani Kibiti inarejea katika hali yake ya amani kama ilivyozoeleka hapo awali na shughuli za maendeleo zimejerejea pasi na shaka
Kamanda Sirro katika hili umefanikiwa!
Wananchi tuko pamoja na wewe hakika katika kuhakikisha uharifu unatokomezwa hapa nchini
Hongera saana jeshi la polisi Tanzania, Kibiti bila mauaji imewezekana
Mr Swax