odinyo
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 429
- 109
Mheshimiwa Mwigulu Mchemba umeonyesha ukomavu wa kisiasa kwa kuamua kutoa msamaha kwa Mheshimiwa Mnyika kutoka na kauli yake aliyoitoa Bungeni. Hilo ni jambo jema kwani unatimiza sera madhubuti za CCM zinazohimiza kusamehemeana miongoni mwa wananachi pasipo kujali itikadi za siasa wala dini.
Mh. Mmnyika yeye analizungumziaje suala hili la kusamehewa?