:A S angry:AFUMUE KILA UOZO
Hivi wakikutana na yule mamvi wanasalimiana vizuri?
Hivi wakikutana na yule mamvi wanasalimiana vizuri?
Kwel kaka kwa sababu jana nimemuona anasema tuta mshughulikia bila uoga mtu huyu aliyesababisha upotevu wa pesa hizi yan mpaka raha sijui kikwete avunje baraza la mawaziri amteu huyu jamaa kuwa waziri mkuu namuona ni noma sana
Namuamini sana MWAKYEMBE nafikiri ataweza kulisimamia hili...........