Nikupongeze sana kwa kuwapa masaa 24 walioleta mafuta yasiyo na viwango waondoke.
Nilianza kuhisi harufu ya mafuta kurudishwa pale niliposikia kwamba Tani 20,000 kati ya 100,000 ziko OK na zinaweza pakuliwa mda wowote week hii.
Cha muhimu sasa simamia kauli yako,mafuta hayo yataua magari mengi sana kama yakipakuliwa,ni mda sasa kusimamia ubora na tusipokee vitu feki tena.
Hongera kwa kuonesha ujasiri, umewakemea, sasa waondoke kweli na mafuta yao.