Hongera mheshimiwa Zitto kuisemea Tabora

Hongera mheshimiwa Zitto kuisemea Tabora

Mbunge wangu wa SIKONGE..... Hebu weka maksi zako hapa.

images
Kapuya4.jpg


Brother Juma Kapuya mnamuonaje lakini?
 
Nadhani bila ushabiki, tunahitaji kuwa na mabadiliko ya sheria ya uchaguzi ili mtu awe mgombea lazima awe mkazi wa eneo husika katika kipindi cha muda flani hata miaka 3 kabla ya uchaguzi na tuweke sifa zinazomfanya mtu atambulike kuwa ni mkazi wa eneo hilo na utaache huu utaratibu wa eti kisa mtu alizaliwa Usongelani, Mabama, Malongwe, Ng,ambo, Usoke, n.k alafu akapotea miaka karibu 30 alafu anakuja kugombea ubunge. Ukiangalia wabunge walio wengi wa tz hutokea Dar kwenda Dom na wala sio kwenye majimbo yao

Nikitangaza nia vigezo vyote vitazingatiwa. na usihofu kabisa kamanda.
 
Nikitangaza nia vigezo vyote vitazingatiwa. na usihofu kabisa kamanda.

Haina shida nina watu wengi nawafahamu huko bila shaka nitasaidia kufanya uhamasishaji kwa njia ya simu, inauma sana maana mikoani kuna watu potential sana lakini wanaochaguliwa unakuta wanatoka nje ya mkoa husika hasa kwa CCM though nina amini kwa utaratibu wao wa kura za maoni toka kwa wanachama wao ipo siku wataumbuka. Huu utaratibu wa kuchagua watu ambao wanaonekana kwenye majimbo yao ungetumika nadhani mikoa mingi ingeendelea sio huu utaratibu watu wanakaribia kustaafu ndio anajifanya anataka kugombea ubunge wakati hata banda la mbuzi hajajenga kwenye jimbo lake, kinachoangaliwa unamchango gani katika jimbo lako hata kama kiutafutaji maisha umekuwa nje ya jimbo lako
 
Ule usemi wa mh.Zitto kuwa yeye ni mbunge wa Kitaifa unaonekana kuwa unaukweli ndani yake. Hii ni kutokana na kutumia nguvu nyingi kuzungumzia na kutetea maslahi ya taifa na si maslahi ya jimbo lake. Mh. Mnyika J.J hutumia nguvu nyingi kutetea maslahi ya jimbo lake sawa na nguvu ileile anayotumia kutetea maslahi ya kitaifa. Jimbo la kigoma kaskazini kuna changamoto nyingi zinazohitaji utatuzi wa haraka. Mazao ya chikichi,kahawa na ndizi hayajapata
ufumbuzi na uratibu mzuri wa masoko hivyo yameshindwa kuwakomboa wana Kigoma kiuchumi. Tatizo sugu la maji linahitaji ufumbuzi pia. Tunakushauri mh. Zitto uige mfano wa mh. Mnyika J.J

Acha unafiki kwani Dar jimbo?
 
Nadhani bila ushabiki, tunahitaji kuwa na mabadiliko ya sheria ya uchaguzi ili mtu awe mgombea lazima awe mkazi wa eneo husika katika kipindi cha muda flani hata miaka 3 kabla ya uchaguzi na tuweke sifa zinazomfanya mtu atambulike kuwa ni mkazi wa eneo hilo na utaache huu utaratibu wa eti kisa mtu alizaliwa Usongelani, Mabama, Malongwe, Ng,ambo, Usoke, n.k alafu akapotea miaka karibu 30 alafu anakuja kugombea ubunge. Ukiangalia wabunge walio wengi wa tz hutokea Dar kwenda Dom na wala sio kwenye majimbo yao
Hata mbunge aliyepita nasikia ni wa kutoka Itigi. Huyu Rage wakati akigombea uenyekiti klabu ya Simba alikanusha kuwa anaishi Tabora (katiba ya Simba inamtaka kiongozi awe mkazi wa Mzizima 'Dar'), bahati mbaya wakaazi wa Tabora kama kawaida yao wakaziba masikio na kumchagua ubunge. Ni aibu, wakati wenzetu wanawabunge wa palepale, Tabora wa kuletewa.
 
Huyu ni mbunge wa kitaifa.
Kamuuliza uzuri waziri wa ujenzi kuhusu makandarasi kusimama kazi, waziri anaanza kwa kuipongeza CCM na ilani zake badala ya kueleza tatizo la msingi la makandarasi kutoendelea na kazi.
 
Eti huyu alikuwa waziri wa ulinzi!! duu !! sijui tulaumu wanaowachagua ama!!?

Halafu mbona kingiza mkono kwenye suruali ya huyo binti, brother K anatafuta nn?
Nadhani aliyeweka picha alitaka kutuonesha jinsi ambavyo viongozi wetu hawana maadili , huyo binti na mdogo na Kapuya wapi na wapi, au ndiyo kula faida badala ya mtaji?!!
Lakini pia hata heshima na usalama wao hawaujali ukiangalia vizuri picha utaona aina ya watu wanaocheza hilo disco wengine hawana viatu wengine wamevaa ndara, nadhani ni sehemu ambayo hata ulinzi na uslama sio wa kuridhisha.
 
Eti huyu alikuwa waziri wa ulinzi!! duu !! sijui tulaumu wanaowachagua ama!!?

Halafu mbona kaingiza mkono kwenye suruali ya huyo binti, brother K anatafuta nn?
Nadhani aliyeweka picha alitaka kutuonesha jinsi ambavyo viongozi wetu hawana maadili , huyo binti na mdogo na Kapuya wapi na wapi, au ndiyo kula faida badala ya mtaji?!!
Lakini pia hata heshima na usalama wao hawaujali ukiangalia vizuri picha utaona aina ya watu wanaocheza hilo disco wengine hawana viatu wengine wamevaa ndara, nadhani ni sehemu ambayo hata ulinzi na uslama sio wa kuridhisha.
 
Hata mbunge aliyepita nasikia ni wa kutoka Itigi. Huyu Rage wakati akigombea uenyekiti klabu ya Simba alikanusha kuwa anaishi Tabora (katiba ya Simba inamtaka kiongozi awe mkazi wa Mzizima 'Dar'), bahati mbaya wakaazi wa Tabora kama kawaida yao wakaziba masikio na kumchagua ubunge. Ni aibu, wakati wenzetu wanawabunge wa palepale, Tabora wa kuletewa.

Kumbe inabidi tujifunze ku-link matukio aisee, tatizo katiba yetu haijawa wazi kuhusu ugombea ubunge kwani inaruhusu mtu kugombea popote pale anapojisikia (kwa sie watz bara) na ndio maana Lyatonga aligombea Temeke na sidhani kama alikuwa mkazi wa Temeke. Kuna haja la kuliangalia hili pia maana agenda ya kuwa mwakilishi maana yake unajua matatizo ya eneo husika hivyo kama wewe ni Mnyamwezi wa Tabora umekaa muda mrefu wa maisha yako Njombe gombea huko na si kurudi Tabora ambako ulikimbia kitambo unless kama una investment zako kule ambazo kwa namna moja ama nyingine zinakufanya uwe unajichanganya na wana Tabora
 
Kumbe inabidi tujifunze ku-link matukio aisee, tatizo katiba yetu haijawa wazi kuhusu ugombea ubunge kwani inaruhusu mtu kugombea popote pale anapojisikia (kwa sie watz bara) na ndio maana Lyatonga aligombea Temeke na sidhani kama alikuwa mkazi wa Temeke. Kuna haja la kuliangalia hili pia maana agenda ya kuwa mwakilishi maana yake unajua matatizo ya eneo husika hivyo kama wewe ni Mnyamwezi wa Tabora umekaa muda mrefu wa maisha yako Njombe gombea huko na si kurudi Tabora ambako ulikimbia kitambo unless kama una investment zako kule ambazo kwa namna moja ama nyingine zinakufanya uwe unajichanganya na wana Tabora
Ndivo inavotakiwa iwe, Rage alipaswa agombee jimbo moja hapo Mzizima kwani ndio makazi yake. Hivi sasa yupo wapi? Kwani hata Dodoma hayupo.
 
Kwahiyo mkuu unamaanishi ni wana Tabora wenyewe ndio wanajitakia?
Unfikiri tatizo ni nini mpaka wanatabora wasiamke na kubadilika?
Mkuu,tatizo ni kukubali kudanganyika na vizawadi. Watu wanaona miaka nenda rudi maendeleo hakuna na kila uchaguzi kinakuja chama kilekile na ahadi tofauti huku wana mafurushi ya zawadi na watu walewale wanadanganyika tena.
bila kuukataa uongo wa CCM maendeleo watayasikia kwa wenzao tuu. Umeona Kigoma inavyokuja kasi kwa ajili ya wale vijana Bungeni?
 
Mkuu,tatizo ni kukubali kudanganyika na vizawadi. Watu wanaona miaka nenda rudi maendeleo hakuna na kila uchaguzi kinakuja chama kilekile na ahadi tofauti huku wana mafurushi ya zawadi na watu walewale wanadanganyika tena.
bila kuukataa uongo wa CCM maendeleo watayasikia kwa wenzao tuu. Umeona Kigoma inavyokuja kasi kwa ajili ya wale vijana Bungeni?
Huo ndio ukweli mtupu mkuu, wakazi wa Tabora mjini nadhani wamekuwa na mbunge mmoja tu alikuwa akikaa nao nae ni mchungaji Misigalo lakini wengine wote wanaagizwa toka Mzizima kuja kupewa ubunge na kurejea huko. Wakijisikia kutembelea Tabora watafika na kwenda katika vijiwe vya KAHAWA na kutoa 'offer' kibao basi miaka inapita.
 
Back
Top Bottom