Hongera Mh. January Makamba

Hongera Mh. January Makamba

kaisha filisika huyo amalize kero za muungano kwanza
 
Majitu mengne bhana hayaish vituko, Iv unajua maana ya kushukuru wewe, au ndo tayar umeshapewa b7
 
Matamko uchwara! Ivi huyu naye alitaka uraisi eti,nchi ya ajabu sana hiii
 
Kuna shule nyingine zipo katikati ya makazi, sijui watapanda wapi
 
  • Thanks
Reactions: Gut
ktk tamko lake angeongeza

hakikisha uwe mti unao weza kuzalisha mbao au karatasi
ili serikali itakapo timiza ahadi ya kujenga viwanda tupate mali gafi hapa hapa
sio miti tu kwa ajili kutafuta kivuli na oksijeni na kwa ajili ya ishu ya global warming.


and by the way ametafiti jografia ya nchi nzima na shule ziliko kama wazo lake litafanikiwa?
 
Nani atagharamia hiyo miche watakayotakiwa kuibeba?

Au kuna sehemu inatolewa bure? Na bei ya miche ni kiasi gani?
 
Na Kila Mbunge anapaswa kwenda na Miti mingapi Bungeni?

Amuulize Mzee Mengi na Mhe.Mbowe walifanikiwa vipi kupanda miti mingi kuliko Watanzania wengine?
 
Shule zitageuka misitu
Na watoto wanaosoma shule ya msingi Bunge pale magogoni watapanda wapi miti yao
 
Maeneo ya kupanda na kutunza hiyo miti yapo? Maana shule nyingi za msingi na sekondari hazina maeneo ya kutosha,let say sekondari yenye wanafunzi 300 wakipanda miti 3 itakuwa miti 900 hiyo ni kwa mwaka mmoja, mwaka mwingine wakiingia wanafunzi 100,kutakuwa na ongezeko la miti 300,sasa maeneo yatatosha ? je umbali kati ya mti na mti utakuwa mita ngapi..la sivyo wafanye kila halmashauri itoe eneo la upandaji miti wa pamoja badala ya maeneo ya shule,kitu kitachofanya shule iliyo mbali na eneo kutumia muda wa masomo kuishia kutunza miti.
 
Back
Top Bottom