Usalama feki ndivyo walivyo, ethics za usalama hawana kabisaNinachojiuliza ni kwamba huyu "Afisa Usalama" anatumia mikono yake kumsukuma Nape na kujibanza kwa watu ilhali silaha iko kwa kiuno, hahofii kuwa wanaweza kuichomoa na kumfanyizia !!
Ha ha haaaaaaa,
Jamaa kandika article ndeefu halafu pumba
Umeeleza vizuri ila usalama wa wapi huyo hadi bastola inaonekana. Je tungemkwapua na kumuua.Maana ilikuwa wazi tu na kusingizia jambazi. Usalama hutajua anspotunza silaha hata siku moja. Wale wahuni tu.Ukiiangalia clip ya tukio utangundua yafuatayo.
1:Mwanausalama/askari alitakiwa atekeleze agizo lake kwa haraka ili kupunguza madhara endapo wananchi wajekaribia eneo hilo(mob psychology), alipomkuta mh Nape aliongea nae kwa sekunde kadhaa, sekunde hizo zinatosha kujitambulisha na kumuomba arudi kwenye gari(mh hakutii), angalia anamgusa begani bado mh hakutii ndio akatoa bastola.
2: Ili kuonesha tukio ni la halali mlinzi wa Mh(japo sijui kuwa ni wa serikali au binafsi) alisaidia kumuingiza mh kwenye gari japo mh aligoma na kushikilia mlango.
3:Tuje kwa maulid, kitendo cha kuingilia kazi ambayo haimuhusu,tena kukiwa na wana usalama wenye bastola viunoni ni cha kukemewa na wapenda amani wote, yeye si mwanausalama wala security detail ya Nape (tunamfahamu kama mwanahabari). jiulize anavomshukuma mwanausalama na huyo mwanausalama akataka kujihami kwa kutumia silaha ingekuwaje, je mwanausalama akajikwaa risasi ikajifatua nani wa kumlaumu, je wananchi wanaomjua kitenge wangeingilia kati hilo sakata nini kingetokea.
4:Mwanausalama baada ya kuona wananchi wamejikusanya akaamua aondoke kuepusha shari zaidi lakini kabla alimsihi kitenge asiingilie,,,,kuna maneno kama bro sikiliza...
5:Angalie matendo aliyofanya jamaa mwingine mwenye fulana nyeusi(nahisi nae ni mwanausalama), kwa heshima alimfungulia mh mlango na kumuonesha aingie ndani ya gari alipoonesha kusita alimshika mkono kumvuta, Pale palikuwa na watu wanne tu nape angeingia kwenye gari kwa nini alikaidi, kitendo kilitakiwa kiwe kimya kmya ila mh ndie alifanya kazi ikawa ngumu kwa kukaidi. Mwenye fulana nyeusi alipoona kitenge anakuja alimsisitiza mlinzi wa mh afanye juhudi mh aingie ndani..kuna maneno yanasikika unasubiri nini. Alipoona kitenge kaingilia kati aliinama kidogo akafanya kitu wakasukumana na kujitawanya.
Kwa mtazamo wangu; Wana usalama walifanya kazi yao kwa ustadi mkubwa bila kuhatarisha usalama. Mh Nape alikosea kukaidi amri/ushauri wa kuingia kwenye gari. Kitenge alihatarisha usalama wa raia kwa kuingilia kaza za wana usalaama.
Rai yangu:
1: Wanahabari kwenye sakata kama hilo jiwekeni mbali muwaache wana usalama wafanye kazi yao.
2: Wana usalama kwenye mikusanyiko ya watu tukiacha wale wanaolinda VIP jitahidini kuhifadhi silaha zenu vizuri.
3: Wanasiasa na watu mashuhuri jitahidini kutii sheria/amri bila shuruti.
NI KWA MTAZAMO WANGU TU
Protea.Hiyo Pritoria Hotel ipo wapi?
Maana picha nilizoziona niliona kanisa la Mtakatifu Petro na najua ndio karibu na Protea Hotel.Nilikuwa namtahadharisha mleta mada hakikishe maandishi yake tu.Umakini unapimwa na maneno yako uyaandikayo au uyasemayo.Protea.
Wengine watakuelekeza ilipo ila njia ya kwenda Masaki (ushuani)
Karibu na kanisa la St.peter
Pole bado unasubilia kumuelewa. Mwambie kakosea njia. Aitafute....Na kuipata ni kujishusha na kusikiliza wananchi.Tutamuelewa mheshimiwa baada ya muda. Hao kina dkt. Machache wanafiki mno. Awamu wamebanwa kila kona. Hakuna kupenyeza kimemo ili kupata upendeleo. Hapa kazi tu
Sijaona jipya kazi anapewa na nani?!au itv na efm zina....Kwani kuna mtu asiyejua kwamba kitenge ni usalama. Yule yupo katika ivi vyombo vya habari kwa kazi maalum. Jezi nambari 9 mgongoni Maulidi mbaraka wa kitenge
Nakubaliana na wewe mia kwa mia. Mwaka 2002 nnikiwa Ruvu jkt depo walichukuliwa vijana watatu kimya kimya later tukaambiwa hao si wenzenu tena wameula...wamepelekwa usalama wa taifa. Kila mmoja alishangaa walikuwa ni darasa la saba wote watatu.Hongera sana Maulid Kitenge. Huo tunaita ni Moyo Kabla ya Silaha!
Ihiihiiihiii......"kitambulisho"....ihiihiiihiiiihiiiiiMtamponza jamani.
Ila nilifurahia show... au hakujua kua jamaa ana 'KITAMBULISHO'?
Umeandika nin pimbi wewUkiiangalia clip ya tukio utangundua yafuatayo.
1:Mwanausalama/askari alitakiwa atekeleze agizo lake kwa haraka ili kupunguza madhara endapo wananchi wajekaribia eneo hilo(mob psychology), alipomkuta mh Nape aliongea nae kwa sekunde kadhaa, sekunde hizo zinatosha kujitambulisha na kumuomba arudi kwenye gari(mh hakutii), angalia anamgusa begani bado mh hakutii ndio akatoa bastola.
2: Ili kuonesha tukio ni la halali mlinzi wa Mh(japo sijui kuwa ni wa serikali au binafsi) alisaidia kumuingiza mh kwenye gari japo mh aligoma na kushikilia mlango.
3:Tuje kwa maulid, kitendo cha kuingilia kazi ambayo haimuhusu,tena kukiwa na wana usalama wenye bastola viunoni ni cha kukemewa na wapenda amani wote, yeye si mwanausalama wala security detail ya Nape (tunamfahamu kama mwanahabari). jiulize anavomshukuma mwanausalama na huyo mwanausalama akataka kujihami kwa kutumia silaha ingekuwaje, je mwanausalama akajikwaa risasi ikajifatua nani wa kumlaumu, je wananchi wanaomjua kitenge wangeingilia kati hilo sakata nini kingetokea.
4:Mwanausalama baada ya kuona wananchi wamejikusanya akaamua aondoke kuepusha shari zaidi lakini kabla alimsihi kitenge asiingilie,,,,kuna maneno kama bro sikiliza...
5:Angalie matendo aliyofanya jamaa mwingine mwenye fulana nyeusi(nahisi nae ni mwanausalama), kwa heshima alimfungulia mh mlango na kumuonesha aingie ndani ya gari alipoonesha kusita alimshika mkono kumvuta, Pale palikuwa na watu wanne tu nape angeingia kwenye gari kwa nini alikaidi, kitendo kilitakiwa kiwe kimya kmya ila mh ndie alifanya kazi ikawa ngumu kwa kukaidi. Mwenye fulana nyeusi alipoona kitenge anakuja alimsisitiza mlinzi wa mh afanye juhudi mh aingie ndani..kuna maneno yanasikika unasubiri nini. Alipoona kitenge kaingilia kati aliinama kidogo akafanya kitu wakasukumana na kujitawanya.
Kwa mtazamo wangu; Wana usalama walifanya kazi yao kwa ustadi mkubwa bila kuhatarisha usalama. Mh Nape alikosea kukaidi amri/ushauri wa kuingia kwenye gari. Kitenge alihatarisha usalama wa raia kwa kuingilia kaza za wana usalaama.
Rai yangu:
1: Wanahabari kwenye sakata kama hilo jiwekeni mbali muwaache wana usalama wafanye kazi yao.
2: Wana usalama kwenye mikusanyiko ya watu tukiacha wale wanaolinda VIP jitahidini kuhifadhi silaha zenu vizuri.
3: Wanasiasa na watu mashuhuri jitahidini kutii sheria/amri bila shuruti.
NI KWA MTAZAMO WANGU TU
Kwani nilichoandika hujakielewa mkuu?Niwa kispoti bana usimchukulie poa.
View attachment 486151
Sasa unamtukania nini? Mbona kaeleza Tu vizur?Umeandika nin pimbi wew
Sasa angemuua basi kitenge uone ambacho kingempata kupitia waandishi wote wa habari waliokuwa pale