Wadau pale panapostahili pongezi lazima tutoe na hii inakwenda kwa manispaa ya kinondoni kwa kuanza ujenzi wa daraja la mto mbezi la kuunganisha goba na makongo hongereni sana na tunaomba muimarishe barabara yote toka goba stend hadi makongo juu hadi survey ili hata daladala ziwe zinafanya route hiyo sisi wakazi wa goba hakika tumepata ukombozi asante sana