Hongera mamlaka ya kivuko Kigamboni


Na tukumbuke ht hiyo Westgate walikua walinzi wanakagua kutokea nje..na alshabab walianza mashambulizi Kuanzia getini wanapokagua kuelekea ndani
Ht hapa kwetu wanaweza kufanya hivyo..na huwa hawi alshabab mmoja akifyatua tu risasi mlinzi chinI itazua taharuki watafanya yao
Ht hao walinzi wa mcity na maeneo mengine.wanakukagua huku silaha hawana shambulizi litokee mpk aifate silaha na kuikoki saa ngapi
Cha msingi ni kuomba Mungu tu alshabab hawashindwi kwa lolote
 
Zoezi la ukaguzi limeyeyuka kimya kimya.
Mpaka tukio lingine litokee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…