Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,409
Nikiwa mwana Ukawa mkereketwa naomba nichukue fursa hii mwanamama Anna mgombea Urais kwa ushujaa Na uzalenzo Wa nchi hii!;bila kujali maslahi binafsi...Mara ya kwanza nilikuwa simwelewi but I'm telling you....she knows how to deal with political issues...mfano..Leo tu kwenye Taarifa ya habari ya ITV Amesema chanzo cha vyama vingi Lengo lake nilikuwa kuikosoa serialised pia kuchukukua madaraka( To take over)Na si vyama vya upinzani vyeenyewe kwa vyeenyewe kusigana haina maana lengo KUU Ni kukitoa madarakani chama kilichopo kwa kuwa hakijaleta matunda Yale yaliyokusudiwa...tena akaenda mbali Na kusema wananchi chagueni Upinzani..iwe yeye au chama pinzani chochote ilimradi kukipumzisha kilichopo...Ni mwanasiasa mkomavu pekeake ndo mwenye kuyaona haya...Tukumbuke..kule Mbagala chama cha ACT kilipozinduliwa Zitto badala ya kustic Na Agendas ya chama aliegemea kukashifu upinzani ili hali nae Ni mpinzani..sasa hapo LAZIMA MTU auliza Anatumika?...we Ni mpinzani unamsema mpinzani mwenzakoo inakuwa haileti maana Ni bora angeenda Tawala hapo isingekuwa Nongwaa....Mama Anna mgwiwira...Much Respect.!!!!