Hongera Magufuli, uteuzi wa Polepole CCM umezingatia kutokulimbikiza vyeo

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,703
106,113
Katibu Mpya wa Itikadi na Uenezi wa CCM ni Humphrey Polepole.Huyu amamrithi Nape Nnauye ambaye alikuwa na mrundikano wa vyeo.

Uteuzi huu unastahili pongezi kwa kuwa umezingatia ile marufuku ya Rais Magufuli katika kurundikiana vyeo.Magufuli alisema atahakikisha hakuna mtu anakuwa na "mavyeo mengi" kama vile hakuna watu wengine wa "kufanza" kama yeye
Kwa kuwa H.Polepole atakuwa mwenezi tu atakuwa na mda mkubwa wa kueneza chama,tofauti kama angekuwa Mkuu wa Wilaya angelazimika kubinya mda wa kuwahudumia wananchi.

Hongera Rais wetu,hongera Polepole
 
Katibu Mpya wa Itikadi na Uenezi wa CCM ni Humphrey Polepole.Huyu amamrithi Nape Nnauye ambaye alikuwa na mrundikano wa vyeo.

Uteuzi huu unastahili pongezi kwa kuwa umezingatia ile marufuku ya Rais Magufuli katika kurundikiana vyeo.Magufuli alisema atahakikisha hakuna mtu anakuwa na "mavyeo mengi" kama vile hakuna watu wengine wa "kufanza" kama yeye
Kwa kuwa H.Polepole atakuwa mwenezi tu atakuwa na mda mkubwa wa kueneza chama,tofauti kama angekuwa Mkuu wa Wilaya angelazimika kubinya mda wa kuwahudumia wananchi.

Hongera Rais wetu,hongera Polepole

Ombi Maalumu:Mods usiunge Uzi huuu
Kweli Mkuu, anachoongea sicho anachokitenda.
 
Katibu Mpya wa Itikadi na Uenezi wa CCM ni Humphrey Polepole.Huyu amamrithi Nape Nnauye ambaye alikuwa na mrundikano wa vyeo.

Uteuzi huu unastahili pongezi kwa kuwa umezingatia ile marufuku ya Rais Magufuli katika kurundikiana vyeo.Magufuli alisema atahakikisha hakuna mtu anakuwa na "mavyeo mengi" kama vile hakuna watu wengine wa "kufanza" kama yeye
Kwa kuwa H.Polepole atakuwa mwenezi tu atakuwa na mda mkubwa wa kueneza chama,tofauti kama angekuwa Mkuu wa Wilaya angelazimika kubinya mda wa kuwahudumia wananchi.

Hongera Rais wetu,hongera Polepole

Ombi Maalumu:Mods usiunge Uzi huuu
Wewe una yako.
Kwani unafikiri Polepole ataendelea kuwa mkuu wa wilaya?
Akili zingine sijui.mmeshikiwa na nani.

Mtasubiri sana
 
Katibu Mpya wa Itikadi na Uenezi wa CCM ni Humphrey Polepole.Huyu amamrithi Nape Nnauye ambaye alikuwa na mrundikano wa vyeo.

Uteuzi huu unastahili pongezi kwa kuwa umezingatia ile marufuku ya Rais Magufuli katika kurundikiana vyeo.Magufuli alisema atahakikisha hakuna mtu anakuwa na "mavyeo mengi" kama vile hakuna watu wengine wa "kufanza" kama yeye
Kwa kuwa H.Polepole atakuwa mwenezi tu atakuwa na mda mkubwa wa kueneza chama,tofauti kama angekuwa Mkuu wa Wilaya angelazimika kubinya mda wa kuwahudumia wananchi.

Hongera Rais wetu,hongera Polepole

Ombi Maalumu:Mods usiunge Uzi huuu
Nafasi ya mkuu wa wilaya ya Ubungo ipo wazi na itajazwa soon
 
Wanachokisema na kutekeleza ni vitu viwili tofauti kabisa. Tuliambiwa ni Serikali ya wanyonge, nashangaa wanyonge wanapandishiwa kodi na kuletewa midege...Wanyonge wanapewa ajira baada yad Siku chache wanafutiwa hizo ajira na kutakiwa wasishitaki popote. Wanyonge pesa yao imefujwa kwenye mchakato wa katiba na bado tunaambiwa haiko kwenye ajenda zao . Wanyonge wamenunuliwa boat mbovu haijulikani hata iko wapi na wanatakiwa wasihoji chochote. Wanyonge hata burudani yao iliyobaki JF nayo kmeanza kuingia ukakasi kwa kumkamata mkurugenzi wake.

Nnachokiona awamu hii, wanachosema sio cha muhimu, sisi ni kusubiria wafanye watakavyo. Nakumbuka Baba wa taifa aliwahi kusema wananchi wanatakiwa kuishi wakiamini wanalindwa na katiba, hawana wasiwasi wa nini kitatokea kesho..safari hii kila kukicha unatega sikio kujua nini kinaendelea kwa sababu chochote kinaweza kutokea wakati wowote.
 
Katibu Mpya wa Itikadi na Uenezi wa CCM ni Humphrey Polepole.Huyu amamrithi Nape Nnauye ambaye alikuwa na mrundikano wa vyeo.

Uteuzi huu unastahili pongezi kwa kuwa umezingatia ile marufuku ya Rais Magufuli katika kurundikiana vyeo.Magufuli alisema atahakikisha hakuna mtu anakuwa na "mavyeo mengi" kama vile hakuna watu wengine wa "kufanza" kama yeye
Kwa kuwa H.Polepole atakuwa mwenezi tu atakuwa na mda mkubwa wa kueneza chama,tofauti kama angekuwa Mkuu wa Wilaya angelazimika kubinya mda wa kuwahudumia wananchi.

Hongera Rais wetu,hongera Polepole

Ombi Maalumu:Mods usiunge Uzi huuu
Nani kakwambia polepole kaacha ukuu wa wilaya?
 
Katibu Mpya wa Itikadi na Uenezi wa CCM ni Humphrey Polepole.Huyu amamrithi Nape Nnauye ambaye alikuwa na mrundikano wa vyeo.

Uteuzi huu unastahili pongezi kwa kuwa umezingatia ile marufuku ya Rais Magufuli katika kurundikiana vyeo.Magufuli alisema atahakikisha hakuna mtu anakuwa na "mavyeo mengi" kama vile hakuna watu wengine wa "kufanza" kama yeye
Kwa kuwa H.Polepole atakuwa mwenezi tu atakuwa na mda mkubwa wa kueneza chama,tofauti kama angekuwa Mkuu wa Wilaya angelazimika kubinya mda wa kuwahudumia wananchi.

Hongera Rais wetu,hongera Polepole

Ombi Maalumu:Mods usiunge Uzi huuu
1481781133470.jpg
 
Wanachokisema na kutekeleza ni vitu viwili tofauti kabisa. Tuliambiwa ni Serikali ya wanyonge, nashangaa wanyonge wanapandishiwa kodi na kuletewa midege...Wanyonge wanapewa ajira baada yad Siku chache wanafutiwa hizo ajira na kutakiwa wasishitaki popote. Wanyonge pesa yao imefujwa kwenye mchakato wa katiba na bado tunaambiwa haiko kwenye ajenda zao . Wanyonge wamenunuliwa boat mbovu haijulikani hata iko wapi na wanatakiwa wasihoji chochote. Wanyonge hata burudani yao iliyobaki JF nayo kmeanza kuingia ukakasi kwa kumkamata mkurugenzi wake.

Nnachokiona awamu hii, wanachosema sio cha muhimu, sisi ni kusubiria wafanye watakavyo. Nakumbuka Baba wa taifa aliwahi kusema wananchi wanatakiwa kuishi wakiamini wanalindwa na katiba, hawana wasiwasi wa nini kitatokea kesho..safari hii kila kukicha unatega sikio kujua nini kinaendelea kwa sababu chochote kinaweza kutokea wakati wowote.
1481781525508.jpg
1481781531223.jpg
 
Back
Top Bottom