Nyota Ndogo
Senior Member
- Aug 7, 2011
- 150
- 33
hakika katika mafanikio ulowahi kuyapata katika himaya yako ni kujenga shule za kata.
zimesaidia sana katika ku-promote uhuru wa fikra wa vijana/watoto wa Kitanzania. vitoto vidogo vimemaliza shule ya msingi juzijuzi tu lakini vina taarifa ya mambo mengi mema na mabaya yanayoendeshwa na serikali yetu. hii itasaidia sana pale vitakapotimiza umri wa miaka 18 kutoa maamuzi magumu ya kuendesha harakati za kuiangusha ccm kupitia sanduku la kura.
na uzuri wa shule za kata ni kwamba wanafunzi karibu shule nzima wanatokea kata moja. kwa hivyo kama kata husika raia wake wanaishi maisha ya mlo mmoja kwa siku basi hasira zao kwa magamba ni mara mbili ya mlo mmoja.
CCM sijui watafanya nini sasa? watazifunga shule hizi au vipi? maana kadiri siku zinavyozidi hali inazidi kuwa tete. Watanzania wazee kwa vijana wanazidi kufunguka kifikira.
hongera bwana Ngoyai.
zimesaidia sana katika ku-promote uhuru wa fikra wa vijana/watoto wa Kitanzania. vitoto vidogo vimemaliza shule ya msingi juzijuzi tu lakini vina taarifa ya mambo mengi mema na mabaya yanayoendeshwa na serikali yetu. hii itasaidia sana pale vitakapotimiza umri wa miaka 18 kutoa maamuzi magumu ya kuendesha harakati za kuiangusha ccm kupitia sanduku la kura.
na uzuri wa shule za kata ni kwamba wanafunzi karibu shule nzima wanatokea kata moja. kwa hivyo kama kata husika raia wake wanaishi maisha ya mlo mmoja kwa siku basi hasira zao kwa magamba ni mara mbili ya mlo mmoja.
CCM sijui watafanya nini sasa? watazifunga shule hizi au vipi? maana kadiri siku zinavyozidi hali inazidi kuwa tete. Watanzania wazee kwa vijana wanazidi kufunguka kifikira.
hongera bwana Ngoyai.