Hiyo Rwanda imfunike Tz kwa lipi!??Hehehe!! Nilijua hmtakawia kupata maumivu, ila poleni zenu Watanzania, haya mataifa madogo yatazidi kuwafunika miaka yote maana nyie mivivu wa kutupwa.
Kwa hizo assembled goods??
Asa tuone hilo soko litapatikana wapi hapa Africa yani mchina alete Xiamo na Huawei nikanunue sim assembled in Rwanda???
Rwanda bado sana wana safari ndefu kinyamee.