KYAMTUNDU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,820
- 294
Tehe!
Makamba huyu mbunge wa Bumbuli au?!
Nheee!
Basi urais ni kazi rahisi!
Kwa lipi-kutafuna maneno au!/
Kumbe ndo maana akasema haoni sura ya urais kutoka vyama vya upinzani siyo!
Mwisho ni kwa hao wawakilishi wa "vyuo vikuu", hayo ndyo mliytumwa na waliowachagua?
Makamba huyu mbunge wa Bumbuli au?!
Nheee!
Basi urais ni kazi rahisi!
Kwa lipi-kutafuna maneno au!/
Kumbe ndo maana akasema haoni sura ya urais kutoka vyama vya upinzani siyo!
Mwisho ni kwa hao wawakilishi wa "vyuo vikuu", hayo ndyo mliytumwa na waliowachagua?