Hongera Jakaya Kikwete vision yako ya kujenga barabara zinazopita juu leo imetimia, wewe ni ‘true leader’

Kwahiyo awam hii haina lolote ktk swala la flyover?
 
Kikwete kafanya mengi sana nchi hii, kweli alikua na mapungufu yake kama kila binaadamu, ila apewe haki yake.

97% ya nchi nzima alitandika barabara kama sio ya lami basi kiwango cha lami, katika uongizi wake. Hii pekeee ni jambo la kumsifia yule mzee.

Nakumbuka kipindi anakua Rais, njia ya kati lami ilikua inaishia Kabla ya kufika Dodoma, kuanzia hapo kama unaelekea mwanza/kigoma/bukoba unaweza ukatenguka kiuno.
 
airport,stiglers gorge,sgr,tazara flyover,ubungo interchange,rbt nk yote nimeyasikia kipindi cha jk...labda kama nimekumbwa na ugonjwa wa akili leo ndo mniambie sgr ni ya awamu hii..nachompendea magufuli ni kuhakikisha udokozi hakuna..nadhani hili ndo ccm walilompitishia
 

Post nzuri mkuu
 
Ukisha amua kupinga kila kitu unaamua kujitoa akili.
Ukweli ni hivi Nchi nchini ya CCM inakuwa ina mipango endelevu inayotekelezwa kwa vipindi.
Mfano Stiglers gorge ni mpango ulioanza tangu Kipindi cha Nyerere, Hizo flyover ni mipango ya Serekali zilizopiata hata Kuhamia Dodoma hivyo hivyo.
Hata Sera ya Viwanda ni Sera ya taifa iliyopitishwa tangu 1999.
Ni suala la Usimamizi...
Wapinzani wa Nchii wangekuja na Hoja Endelevu, sio kila kitu unalalamika na kulamba matapishi..
Moja ya Ahadi ya CHADEMA 2015 ilikuwa ni kupunguza kama sio kuondoa Foleni Dar Es Salaam, Cha ajabu hii initiative inachukuliwa wanalalamika
 
Yeah, vision yake imeanza kuleta matunda. We need visionary leaders, sio kubwatuka majukwaani tu

Kikwete alikuwa hana vision yeyote alikuwa pale kutuibia akiwatumia wakina HOME SHOPPING CENTRE na kuficha hizo pesa ughaibuni huko anakokwenda kubembea kila leo!! Kaingiza nchi hasara kwa kuingia mikataba mibovu na WACHINA kwa faida zake binafsi; na mpaka leo ile mikataba aliosaini karibu anaondoka imefichwa ili asiumbuke!!
 
KIA Terminals jamaa ndio kafanyia mambo...
Thanks KIKWETE

Unamshukuru kwa kwenda kukopa China kujenga uwanja lakini mkishindwa kulipa deni WACHINA wachukue uwanja? Hizo ndio terms za mikopo aliochukua Kikwete toka China!!! Wanatuficha ama sivyo watu wangechachamaa kwa kuweka nchi rehani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…