Kwahiyo awam hii haina lolote ktk swala la flyover?Kama huelewi basi utakuwa mbumbumbu sana ! ni hivi , hakuna anayepinga yanayoendelea bali kinachopingwa ni upotoshaji , SEMENI UKWELI KUHUSU WALIOANZISHA HII MIRADI BADALA YA KUWASIFU WATU WASIO NA MAONO , awamu ya 4 ilifanya yake na awamu ya 5 imeamua kuwa na kipaumbele cha kuua upinzani na kutokomeza demokrasia , mnaficha nini ?
tuwekee hapa tuzione , hata hivyo kipaumbele cha awamu hii si hicho labda iwe nyongeza tu .Kwahiyo awam hii haina lolote ktk swala la flyover?
Nimekuuliza awamu hii haina lolote ktk swala la flyover?tuwekee hapa tuzione , hata hivyo kipaumbele cha awamu hii si hicho labda iwe nyongeza tu .
ziko wapi ? kama hutaki kuzionyesha usiniulize tena , unanipotezea muda bure !Nimekuuliza awamu hii haina lolote ktk swala la flyover?
airport,stiglers gorge,sgr,tazara flyover,ubungo interchange,rbt nk yote nimeyasikia kipindi cha jk...labda kama nimekumbwa na ugonjwa wa akili leo ndo mniambie sgr ni ya awamu hii..nachompendea magufuli ni kuhakikisha udokozi hakuna..nadhani hili ndo ccm walilompitishiaKikwete pamoja na kuwa alikua Mwizi ila alijua kula na vipofu
Daraja la kigamboni, Magari ya mwendokasi, na ili daraja la Tazara
Jamaa alikua na vision ya kuona mbali na bright sana kwenye issues za kiuchumi
Huyu jamaa mpaka sasa ajazindua mradi wake hata mmoja tunasubiri labda SGR na Umeme wa maji kama atafanikiwa kabla ya Muda wake kuisha,
Tazaraziko wapi ? kama hutaki kuzionyesha usiniulize tena , unanipotezea muda bure !
hata hela zilikotoka magufuli hajui !Tazara
Mkopo ni billion 26.Zingine zimetoka wap?hata hela zilikotoka magufuli hajui !
Awe JK awe Magufuli wote hao ni kutoka CCM. Ni vyema ukatambua hilo. Huwezi kuepuka chama tawala.tuwekee hapa tuzione , hata hivyo kipaumbele cha awamu hii si hicho labda iwe nyongeza tu .
RAIS Jakaya Kikwete, ameagiza hatua za haraka zichukuliwe, kujenga barabara zinazopita juu katika Jiji la Dar es Salaam, ili kupunguza misongamano mikubwa ya magari.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu ilisema Rais Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM alitoa agizo hilo juzi, baada ya kupewa taarifa ya utendaji ya CCM katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Mwenyekiti huyo alikuwa katika siku ya kwanza ya ziara yake ya siku tatu ya kukagua shughuli za CCM mkoani humo.
"Hili la flyovers lipewa kipaumbele ili tupunguze msongamano wa magari katika Dar es salaam. Tusipofanya hili jiji hili litakuwa halipitiki katika muda wa miaka mitano, ama hata katika miaka miwili ama mitatu ijayo," Rais Kikwete.
Rais Kikwetepia aliwaagiza wataalam wa mipango miji katika Jiji la Dar es Salaam, kuanza kupunguza maeneo yasiyopimwa kwa kuzingatia kuwa kwa sasa ni asilimia 30 ya jiji ndiyo iliyopimwa.
Alisema Jiji la Dar es Salaam, haliwezi kuendelea kupanuka bila mpangilio na kwamba wakati sasa umefika wa kuhakikisha kuwa linajengwa kwa kuzingatia mipango miji.
"Hatuwezi kuendelea namna hii na mji unaopanuka namna hii. Hili ni jambo zito, kubwa linalohitaji umakini wa haraka kutatuliwa. Ndio maana kipindupindu hakiishi katika mji huu." alisema Rais Kikwete baada ya kupata taarifa kutoka kwa watalaam wa huduma za maji, ardhi na barabara.
Katika mkutano huo, Rais Kikwete pia alipewa taarifa kuhusu hatua zinazochukuliwa kukabiliana na ukosefu wa maji ya katika jiji hilo.
Rais Kikwete pia aliusifu utendaji wa CCM katika Mkoa wa Dar es Salaam akiwataka viongozi wa chama hicho kutafuta njia za haraka za kutatua matatizo ya wananchi.
"Angalieni na chunguzeni sana matatizo ya wananchi. Haya ndiyo muhimu kwetu kuyashughulikia, tena kwa haraka. Hii ndiyo nguvu ya chama chetu," amesema Mwenyekiti huyo wa CCM
Source: MWANANCHI
Yeah, vision yake imeanza kuleta matunda. We need visionary leaders, sio kubwatuka majukwaani tu
KIA Terminals jamaa ndio kafanyia mambo...
Thanks KIKWETE
Tatizo sio wote ccm.No! Shida ni kwamba mmoja NI KIONGOZI MWENYE MAONI na mwingine NI JIWE KICHAA LISILO NA AKILI.Mkuu technically, kumbuka kuwa JK na Ngosha wote ni CCM.
Jamaa wanajikanganya mithili ya nyumbu.Kikwete na Magufuli wote ni wa chama kimoja. Ni wanachama wa CCM. Sifa ziende kwao wote.
Hilo jiwe unalo mpaka 2025. Linainyoosha nchi iliyokuwa imejaa uzembe na umwinyi.Tatizo sio wote ccm.No! Shida ni kwamba mmoja NI KIONGOZI MWENYE MAONI na mwingine NI JIWE KICHAA LISILO NA AKILI.