MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Kwahiyo awam hii haina lolote ktk swala la flyover?Kama huelewi basi utakuwa mbumbumbu sana ! ni hivi , hakuna anayepinga yanayoendelea bali kinachopingwa ni upotoshaji , SEMENI UKWELI KUHUSU WALIOANZISHA HII MIRADI BADALA YA KUWASIFU WATU WASIO NA MAONO , awamu ya 4 ilifanya yake na awamu ya 5 imeamua kuwa na kipaumbele cha kuua upinzani na kutokomeza demokrasia , mnaficha nini ?