Muhimbili yamtunuku Rais Samia Tuzo ya Udaktari Bingwa Bobezi wa mageuzi sekta ya Afya

Muhimbili yamtunuku Rais Samia Tuzo ya Udaktari Bingwa Bobezi wa mageuzi sekta ya Afya

News Tz1

Member
Joined
Nov 28, 2025
Posts
28
Reaction score
38
Hospitali ya Taifa Muhimbili imemtunuku tuzo ya heshima ya udaktari bingwa bobezi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wake mkubwa katika mageuzi ya huduma za Afya Nchini.

Soma Pia: Rais Samia atunukiwa nishani ya heshima nchini Afrika Kusini

Tuzo hiyo imetolewa kwenye hafla iliyowakutanisha Madaktari na wauguzi Bingwa bobezi Machi 28, 2026 kwenye Hoteli ya Johari Rotana jijni Dar es salaam

7edba3df-e055-442f-9613-21b4d348c500.jpeg
 
Kweli? Honorary Super Specialist?

Wameshindwa kuita hata Champion wa Afya? T
 
Ni nani aliyeturoga?

Hizi Tuzo ni Mkulu kuwa anazitaka mwenyewe au ni wapambe tu wanajikomba komba.

Kama ni yeye anazitaka, zinamsaidia kwenye lipi haswa?
 
Hospitali ya Taifa Muhimbili imemtunuku tuzo ya heshima ya udaktari bingwa bobezi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wake mkubwa katika mageuzi ya huduma za Afya Nchini.
View attachment 3564665
Tuzo hiyo imetolewa kwenye hafla iliyowakutanisha Madaktari na wauguzi Bingwa bobezi Machi 28, 2026 kwenye Hoteli ya Johari Rotana jijni Dar es salaam
Anastahili
 
Back
Top Bottom