Ila kinacholeta mvuto kwa huyu dogo ni kwamba ametoka katika mazingira ya ufukara akapigana akawa juu angalau mama yake anazeeka vizuri,.
Dunia hii get rich or die trying.
Sio fitna na wivu ambao una wanyima watu rizki na visirani.
Huyu alikuwa maskini sasa ni kitajiri,so envy,envy, envy,