Hongera DC wa Mbulu; Umezingatia maoni yetu kutokomeza mimba za utotoni, zoezi liwe inchi nzima

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Katika hali inayo tia moyo na kuhamasisha watu kutoa maoni yao ili kuishauri serikali, ni pale ambapo ushauri utazingatiwa na kufanyiwa kazi japo Kwa majaribio! Mkuu Wa wilaya umetupa moyo na kurejesha hadhi ya JF kama jukwaa la GT. Naomba na vingozi wengine muige mfano huu,
"Mkuu Wa wilaya ya mbulu, Chelestino Mofuga, Amezindua Kampeni ya kuwapima Mimba wanafunzi mashuleni, katika kampeni hiyo, mkuu huyo Wa wilaya amewataka wakuu Wa shule na wakurugenzi kuwapima wanafunzi mimba kila baada ya miezi mitatu Kwa kutumia ma-nurse na wataalam Wa afya.(chanzo - mwananchi).
Inakaribia mwaka sasa Tangu wana-JF tushauri hayo yazingatiwe ili kutokomeza mimba za watoto wetu!
Serikali ifanye haya kutokomeza mimba za utotoni. Kuwafunga watu miaka 30 siyo suluhisho

***********************************
 
Safi.

ila kuna kitu cha ziada kinatakiwa kifanyike zaidi maana hiyo kupima mimba kuna shule kila wakifungua wanapima mimba ila bado tatizo lipo na zaidi wengi wakijishtukia wana mimba wanatoa kabla ya kupimwa shuleni.
 
Kwan Mimba Inajifcha? Akapata Atajulikana Tu. Labda Km Wanatengeneza Ulaji2 Km Kuna Pesa. Kwann Wacwaze Kupma HIV Kwa Wanafunz Mkoa Mzima Ambayo Wanaweza Kuendelea Kuambukizana? Wachek Na Virginity Bac. Watoto Wanafanya Hilo Halina Ubishi N No One Can Stop, Cha Muhimu Ni Atakaeonekana Na Mimba, Nyumbani. Ss Kupma Mimba After 3 Months, Kwan Shule Wameenda Kujifunza Kuzaa? Hata Km Wazo Limetoka Jf, Hali Maana Kwan Hakuna Mwanafunzi Anaeweza Kuzaa Kwa Siri.
 
Kwan Mimba Inajifcha? Akapata Atajulikana Tu. Labda Km Wanatengeneza Ulaji2 Km Kuna Pesa. Kwann Wacwaze Kupma HIV Kwa Wanafunz Mkoa Mzima Ambayo Wanaweza Kuendelea Kuambukizana? Wachek Na Virginity Bac. Watoto Wanafanya Hilo Halina Ubishi N No One Can Stop, Cha Muhimu Ni Atakaeonekana Na Mimba, Nyumbani. Ss Kupma Mimba After 3 Months, Kwan Shule Wameenda Kujifunza Kuzaa? Hata Km Wazo Limetoka Jf, Hali Maana Kwan Hakuna Mwanafunzi Anaeweza Kuzaa Kwa Siri.
Lengo la serikali ni kutokomeza! Hii itachangia sana kutia hofu hao watoto wasijihusishe na ngono!
Mfano; kuna baadhi ya makabila hapa Tanzania wamama wanatabia ya kukagua mabinti zao kila wanarudi nyumbani ili kutia hofu wasijihusishe na ngono.
 
dmkali, Hayo Makabila Unayosema Wazaz Wanawapma Ni Lipi Ambolo Watoto Wao Hafanyi? Hali Ni Ile Ile Iwe Ushuani, Uswahilini Na Vijijini, Tofauti Ni Magnitude Of The Problem Kutokana Hali Ya Maisha. Toka Enzi Za Nyerere Watu Walijua Kuwa Sheria Ni Kufukuzwa Once Umegundulika Mjamzito. Ss Ni Kero Kwa Watoto Kisaikolojia Kuwaomba Mikojo Yao Kila Miez Mitatu. Wapo Watoto Watukutu Lkn Wapo Ambao Wenye Utulivu Ambao Wakielekezwa Wanaelewa. Mf. Kunawatoto Wanajifunza Ushoga Bweni, Hawa Mnawapmaje Au Matatizo Kwenu Ni Mimba Tu? Hao Wakuu Wa Mikoa Wana Haha Waonekane Ni Wabunifu Na Wanafanyaji Kaz, So Ucdhan Kila Wanachofanya Ni Cha maana. Sometimes Wanakurupuka.
 
Back
Top Bottom