Hongera continental

Naona startimes wamebugi, channel zinaonekana free kwao hadi kwenye vingamuzi vya continental unapata channel za startimes
Continental wamenikosha roho Yangu
Continental wako juu kwa sasa
 
Nimekuelewa mkuu ila naogopa kuvurunda ahsante mkuu
 
Sioni hata chaneli ya maana kati ya hizo ulzotaja, anyway inategemea na mtumiaji mwenyewe kwani kibaya kwangu kizuri kwa mwingine.
Fox sports na fox sports2 tu ndio za msingi hapo
 
Kumbe unasemea TING hapo basi ni angle moja 11596 H 30000 ni TP ya TING
 
Na zile za kipuuzi za star ,,,star,,,,star,,,,star...... Bado zipo?

Channel nyingi hadi zimewashinda kuzimanage, wanarudiarudia vipindi kwa wiki kipindi kimoja kinajirudia mara 10

nkajua inanikera peke yangu kumbe inakera wengi!! star zipo kibao yani hata JF ingekua chini ya continental basi wangeanzisha na Star Jamii
 
Wewe mleta post unashangilia usichokijua tena kwa lugha nyingine sitasita kukuita wewe ni tapeli tena mkubwa wa kutupwa nyie ndio huwa mafundi uchwara mnaowaingiza mkenge wateja wasiofamu.Kimsingi Continental haina hizo chaneli zote ulizozitaja hizo ulizozitaja ni chaneli za kampuni ya Ting ndo ziko fta kwa sasa kwasababu Ting iko ABS 75deg pia Continental iko kwenye sat hiyohiyo.
 
nkajua inanikera peke yangu kumbe inakera wengi!! star zipo kibao yani hata JF ingekua chini ya continental basi wangeanzisha na Star Jamii
ndugu yangu . hicho ndicho kilichonifanya nikiweke pembeni hicho kingamuzi chao. hata sijaenda kukisajili labda wabadilike.
kero hiyo ilianzia pale tu walipoachana na satellite ya AMOS.

wakaondoa channel zote za msingi ikiwemo citizen hata cctv9 documentary.
na badala yake wakaanza kuzaa na star.

star documentary
star newsline
star kids
star drama
.
.
.
.
.
.

kweli ilinichosha, maanake huyo star kama ni mwanamke anayezaa bila mpangilio.
 
msaada wanajamvi smartphone yangu ya samsung nikiwasha inaanza proccess zote za kuwaka ikifika kwenye hatua ambayo screen inaonyesha neno sangsung basi ina baki hivyohivyo aizimi wala kuendelea ila inabaki hivyo hivyo ikiandika neno samsung itakuwa inashida gani jamani simu yenyewa hata mwaka akajamaliza.
 
itumbukize kwenye maji iache kwa siku 2 ukiitoa itakua isharecover
 
Samsung aina gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…