Hii nchi tunaikomboa sun 2come
Jua litoke wapi tena?
Napongeza sana chama hiki pekee, makini kwa harakati za kuleta mabadiliko nchini.
Kwa sasa chama kimepata magari 200 ili kuwezesha harakati hizi muhimu. big up CDM. hakuna kulala, hakuna usingizi.
magari mia mbili wakati hamna ofisi ya kudumu ( poor planning) .
mashariki
kwani sasa linatoka wapi?
polisi
Magari 200 mapyaaa... siyo mtumba.
yamenunuliwa na polisiYamenunuliwa na nani? kama si CDU ni Kanisa Katoliki, hapo sasa!
yamenunuliwa na polisi