Maana hizi sherehe kubeba jina la Uhuru wa Tanzania huwa ni batili waandalizi inafaa wafunguliwe mashtaka kwa kutumia Jina la Tanzania kuchota hela na kusheherekea Uhuru wa nchi ambayo ilishafutwa na haipo inakuwaje?
Sasa sio katiba mpya bali na Tanganyika lazima iwepo ili hizi sherehe za kila mwaka ziwe na uhalali. Hela inapigwa hivihivi eti sheree za Uhuru wa Tanzania Tanzania ipi iliyopata uhuru na kuweza kusheherekea Uhuru wake?
Hongera sana CHADEMA nimekuwepo na kusikiliza mwanzo hadi mwisho,kwa kweli CCM mnawafanya WaTanganyika NA waZanzibari ni wajinga sana.
Sasa sio katiba mpya bali na Tanganyika lazima iwepo ili hizi sherehe za kila mwaka ziwe na uhalali. Hela inapigwa hivihivi eti sheree za Uhuru wa Tanzania Tanzania ipi iliyopata uhuru na kuweza kusheherekea Uhuru wake?
Hongera sana CHADEMA nimekuwepo na kusikiliza mwanzo hadi mwisho,kwa kweli CCM mnawafanya WaTanganyika NA waZanzibari ni wajinga sana.