LEVEL
Senior Member
- Jul 4, 2013
- 195
- 51
Tangu mwaka 1961-2015, Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ipo chini ya utawala wa chama cha mapinduzi, mwaka 1992; upinzani uliingia nchini japo miaka ya juzi tu wapinzani wameanza kupata nguvu kisiasa na hivyo kuweza kuumbua mambo mengi ambayo wananchi wengi tulikua hatuyajui wala kuyasikia, hadi leo hii ninapo andika post hii bado tupo chini ya utawala wa chama cha mapinduzi kinachoongozwa na Dr. John Pombe Magufuli.
Nimejaribu kufwatilia utendaji wake alioanza nao pamoja na hotuba yake ya juzi bungeni nikajifunza kitu kimoja kuwa Rais ameshinda kwa tiketi ya CCM ila anafanya kazi kwa kutekeleza ilani ya UKAWA, safi sana UKAWA kwa ilani nzuri ambayo hadi Rais wetu ameona akiifuata mambo yataenda vizuri, safari za nje tuliongea sana, elimu bure tuliongea sana, dawa tuliongea sana, nk
Viva UKAWA hatujashinda urais ila ilani yetu inatekelezwa na CCM.
Nimejaribu kufwatilia utendaji wake alioanza nao pamoja na hotuba yake ya juzi bungeni nikajifunza kitu kimoja kuwa Rais ameshinda kwa tiketi ya CCM ila anafanya kazi kwa kutekeleza ilani ya UKAWA, safi sana UKAWA kwa ilani nzuri ambayo hadi Rais wetu ameona akiifuata mambo yataenda vizuri, safari za nje tuliongea sana, elimu bure tuliongea sana, dawa tuliongea sana, nk
Viva UKAWA hatujashinda urais ila ilani yetu inatekelezwa na CCM.