Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Chama Cha Demekrasia na Maendeleo aka CHADEMA kimepata uungwaji mkono mkubwa sana katika kada ya Wasomi Tanzania, Hali hiyo imejidhihirisha Siku za karibunu ambapo kumekuwa na Wimbi kubwa la Wanafunzi wa Vyuo vikuu kukiunga Mkono CHADEMA. Katika Mjadala wa Muswada wa uundwaji wa Chombo kitachosimamia uundwaji wa Ktiba Mpya Mbunge Jasiri Godbless Lema alifanikiwa kuwahamasisha Wanavyuo Dodoma kuhudhuria kwa wingi katika uchangiaji wa Muswada huo.
Sasa naona CCM nao wanaiga, na kwa kuanzia Think Tank ya CCM iliamua kufanya jambo lifuatalo
CCM iliamua kuwafata Wasomi wa Shule za Msingi na Chekechekea na kuwahamasisha waje kwa Wingi Viwanja vya Karimjee ili watoe Mawazo yao. Katika Hili la kuvileta Vitoto napenda kuipongeza CCM na Think Tank Nzima ambayo inaongozwa na Tambwe Hiza.
Hongera sana CCM maana tuliona namna vile vitoto vilivyokuwa vinachachafya Ukumbe kwa Hoja zao Nzito
Sasa naona CCM nao wanaiga, na kwa kuanzia Think Tank ya CCM iliamua kufanya jambo lifuatalo
CCM iliamua kuwafata Wasomi wa Shule za Msingi na Chekechekea na kuwahamasisha waje kwa Wingi Viwanja vya Karimjee ili watoe Mawazo yao. Katika Hili la kuvileta Vitoto napenda kuipongeza CCM na Think Tank Nzima ambayo inaongozwa na Tambwe Hiza.
Hongera sana CCM maana tuliona namna vile vitoto vilivyokuwa vinachachafya Ukumbe kwa Hoja zao Nzito