Hongera Azam FC, lakini...

unajua maana ya 1 vs 1?
Factors zote ziwe constant, kwa mwaka huu, kwa vikosi hivi Simba na Prisons wamecheza mara ngapi? Nani kamzidi mwenzake mabao?
Simba na Ruvu wamecheza mara ngapi? Nani kamzidi mwenzie mabao?
Halafu ufananishe na Yanga.

Au ukitaka msikilize Ambangile au Shaffi akuhadithie jinsi mlivyoupiga mwingi au biriani au sijui gwaride etc ....
All in all mwaka huu Simba na Yanga wamecheza 4 times Yanga kaibuka mshindi 2 times na Simba ONCE na draw ya chupuchupu.
Tumecheza four times bro, usitongee mambo uchawi, tumia data ku-argue.
Yanga fanyeni usajili achaneni na habari za simba. Ili muwe bora lazima mfanye usajili wa maana hizo habari mara mliifunga simba mara nyingi hazina maana kama ushindi wenu hausaiidii kuchukua ubingwa
 
unajua maana ya 1 vs 1?
Factors zote ziwe constant, kwa mwaka huu, kwa vikosi hivi Simba na Prisons wamecheza mara ngapi? Nani kamzidi mwenzake mabao?
Simba na Ruvu wamecheza mara ngapi? Nani kamzidi mwenzie mabao?
Halafu ufananishe na Yanga.

Au ukitaka msikilize Ambangile au Shaffi akuhadithie jinsi mlivyoupiga mwingi au biriani au sijui gwaride etc ....
All in all mwaka huu Simba na Yanga wamecheza 4 times Yanga kaibuka mshindi 2 times na Simba ONCE na draw ya chupuchupu.
Tumecheza four times bro, usitongee mambo uchawi, tumia data ku-argue.
ni vyema umeweka wazi umeshikiwa akili zako na kina Shafii
 
Vtu vya kijinga wakati ndiyo timu iliyo ku-outplay 1vs1 mwaka huu.
Timu mbili tu ndiyo zimeishinda Simba mwaka huu ukiweka 1vs 1.

Kaizer Chiefs
Young Africans
Uwe unatumia data katika kuwasilisha mawazo yako. Usipende kushikiwa ubongo na Ambangile au Kitenge.
Hasa Aston Villa iliifunga Liverpool je Aston ni timu bora?
 
Simba kakutana mara mbili na Al ahly, moja kashinda moja kafungwa, idadi ya magoli ni sawa, so kwa mfano wako ni sawa na kusema simba iko level sawa na Ahly! Seriously?
Yeah kwa vikosi hivyo viwili vipo level moja.
 
Yanga fanyeni usajili achaneni na habari za simba. Ili muwe bora lazima mfanye usajili wa maana hizo habari mara mliifunga simba mara nyingi hazina maana kama ushindi wenu hausaiidii kuchukua ubingwa
Tufanye usajili kwa lengo gani?
 
Tena watafute na msemaji/mhamasishaji machachari ikiwezekana wampe Manara nawahakikishia wataanza kupata mashabiki
 
Azam FC haina mashabiki, soka ni mchezo unaotawaliwa na mashabiki.
Mkuu mashabiki wanatokana na mambo mawili ambayo ni kurithi/kushawishiwa/kuvutwa na jamaa au ubora/tukio fulani.

Azam wakiwa na matokeo mazuri mfululizo, wawe wanabeba makombe, wanazifunga Simba na Yanga na kutoa ushindani wa nguvu nakuhakikishia ndani ya miaka 10 ijayo watakuwa na mashabiki hasa vijana wadogo wanaokuwa.

Timu kama Man City miaka ya 2000 haikuwa na mashabiki Tanzania lakini kutokana na matokeo hivi sasa nadhani jibu unalo mwenyewe
 
Nilitegemea Azam iwe timu ya kukuza vipaji na kuleta ushindani km Arsenal fc sio kununua wachezaji wakubwa bila mafanikio yoyote.
 
Mkuu mashabiki wanatokana na mambo mawili ambayo ni kurithi/kushawishiwa/kuvutwa na jamaa au ubora/tukio fulani.

Azam wakiwa na matokeo mazuri mfululizo, wawe wanabeba makombe, wanazifunga Simba na Yanga na kutoa ushindani wa nguvu nakuhakikishia ndani ya miaka 10 ijayo watakuwa na mashabiki hasa vijana wadogo wanaokuwa.

Timu kama Man City miaka ya 2000 haikuwa na mashabiki Tanzania lakini kutokana na matokeo hivi sasa nadhani jibu unalo mwenyewe
Wametimiza miaka 10 tayari kwenye Ligi. Ndio kwanza Wana Kikundi cha Ngoma.
 
Vtu vya kijinga wakati ndiyo timu iliyo ku-outplay 1vs1 mwaka huu.
Timu mbili tu ndiyo zimeishinda Simba mwaka huu ukiweka 1vs 1.

Kaizer Chiefs
Young Africans
Uwe unatumia data katika kuwasilisha mawazo yako. Usipende kushikiwa ubongo na Ambangile au Kitenge.
Vipi prisons?...
 
unajua maana ya 1 vs 1?
Factors zote ziwe constant, kwa mwaka huu, kwa vikosi hivi Simba na Prisons wamecheza mara ngapi? Nani kamzidi mwenzake mabao?
Simba na Ruvu wamecheza mara ngapi? Nani kamzidi mwenzie mabao?
Halafu ufananishe na Yanga.

Au ukitaka msikilize Ambangile au Shaffi akuhadithie jinsi mlivyoupiga mwingi au biriani au sijui gwaride etc ....
All in all mwaka huu Simba na Yanga wamecheza 4 times Yanga kaibuka mshindi 2 times na Simba ONCE na draw ya chupuchupu.
Tumecheza four times bro, usitongee mambo uchawi, tumia data ku-argue.
Wewe ubora wa timu unaupimaje?..
 
azam ana usimba sana, kitu kinacho mfanya ashindwe kusimama yeye kama yeye [hajui anataka nini ligi kuu, zaidi ya kumkania yanga hana lolote la maana
 
Back
Top Bottom