Honey i miss my days

Honey i miss my days

Ilianza gari kuwa na miss ikafata sim sasa hivi wadada ikitoka hapo itaelekea wapi sijui
 
EMT sijamuona muda kweli sijui amepotezw ana mabomu au budget imempoteza

Nipo Brazil kwenye FIFA Confederation Cup. Timu yangu Tahiti imechapwa 10-0 na Spain.

Huku kuna maandamano ya kumwaga pia, kidogo jiunge nayo maana nimeyapaenda kwa kweli.

Wanapinga kuongezeka kwa nauli za mabasi, rushwa na kuitaka serikali iwekeze zaidi kwenye elimu na afya.

Ila tofauti na Bongo, asilimia 84 ya wanaoandama hawaungi mkono chama chochote cha siasa.
 
EMT angalia tuu usije na ngeu aise
Ila wenzetu maandamano yao bana polisi wanakaa pembeni wanawaangalia mradi tuu msianze kuharibu vitu hapo polisi wanaingilia au wakiona mmefika sehem ambako sasa mtaleta madhara ndo wanaingilia sio haya ya kwetu kidogo tuu polisi wanaanza mkong'oto balaa na mabomu ya machozi na maji na risasi za moto duh
 
Last edited by a moderator:
EMT angalia tuu usije na ngeu aise
Ila wenzetu maandamano yao bana polisi wanakaa pembeni wanawaangalia mradi tuu msianze kuharibu vitu hapo polisi wanaingilia au wakiona mmefika sehem ambako sasa mtaleta madhara ndo wanaingilia sio haya ya kwetu kidogo tuu polisi wanaanza mkong'oto balaa na mabomu ya machozi na maji na risasi za moto duh

Hapana aisee. Washawasha za kumwaga, mabomu ya machozi na rubber bullets mtindo mmoja.

Ila hakuna mabomu ya kuua na risasi za moto kwa sababu ni very tricky kwa serikali.

Wananchi hapa wamekataa kabisa kugawanywa kwenye vyama vya siasa na wanasiasa.

Badala yake wanaandamana kama wananchi na siyo wafuasi wa chama fulani.
 
Hapana aisee. Washawasha za kumwaga, mabomu ya machozi na rubber bullets mtindo mmoja.

Ila hakuna mabomu ya kuua na risasi za moto kwa sababu ni very tricky kwa serikali.

Wananchi hapa wamekataa kabisa kugawanywa kwenye vyama vya siasa na wanasiasa.

Badala yake wanaandamana kama wananchi na siyo wafuasi wa chama fulani.

Nimeipenda hiyo spirit mkuu EMT
tatizo la hapa ni kwamba wananchi hawawezi kufanya hayo bila ushawishi wa chama au wanaharakati na wanaharakati wa hapa hata wasikie kuna tatizo kwa wananchi wanakaa kimya
Na nafikiri watu wa hapa wahawaogopa polisi kuwa ukienda kwenye maandamano kuna mawili kurudi ukiwa mzima au kurudi ukiwa mfu au kilema sasa hapo lazima watu waogope kwenda kwenye mikusanyiko kama hiyo ambayo polisi badala ya kubeba risasi bandia wao wanabeba za moto na mabomu baddala ya kuyafyatua watu watawanyike wao wanawaftatulia watu tumboni
 
Last edited by a moderator:
Nimeipenda hiyo spirit mkuu EMT
tatizo la hapa ni kwamba wananchi hawawezi kufanya hayo bila ushawishi wa chama au wanaharakati na wanaharakati wa hapa hata wasikie kuna tatizo kwa wananchi wanakaa kimya
Na nafikiri watu wa hapa wahawaogopa polisi kuwa ukienda kwenye maandamano kuna mawili kurudi ukiwa mzima au kurudi ukiwa mfu au kilema sasa hapo lazima watu waogope kwenda kwenye mikusanyiko kama hiyo ambayo polisi badala ya kubeba risasi bandia wao wanabeba za moto na mabomu baddala ya kuyafyatua watu watawanyike wao wanawaftatulia watu tumboni

Hakuna mabadiliko yanayokuja bila kuji-sacrifice au kuwa na woga.

Hakuna kabisa na asikudanganye mtu yoyote yule.
 
Hakuna mabadiliko yanayokuja bila kuji-sacrifice au kuwa na woga.

Hakuna kabisa na asikudanganye mtu yoyote yule.


Mkuu EMT kwa kauli kama za Pinda unatarajia nini mkuu
Kwa sasa hao jama awameambiwa wapige unaweza kufikiria ni nini kitatokea
 
Last edited by a moderator:
Mkuu EMT kwa kauli kama za Pinda unatarajia nini mkuu
Kwa sasa hao jama awameambiwa wapige unaweza kufikiria ni nini kitatokea

Well, kwa mfano, wakiandamana watu milioni moja Dar, watawapiga risasi wote?

Watawala wanajua sie ni waoga, tumegawanya kivyama zaidi, hivyo tukipigwa mkwara kidogo tuu tunanywea.

Pia hatuheshimiani maana hatujawahi kushikishana adabu ndo maana wanasiasa wanasema ovyo bila kuogopa.
 
Well, kwa mfano, wakiandamana watu milioni moja Dar, watawapiga risasi wote?

Watawala wanajua sie ni waoga, tumegawanya kivyama zaidi, hivyo tukipigwa mkwara kidogo tuu tunanywea.

Ni kweli mkuu EMT na hilo ndio koa kubwa ambalo wananchi wanafanya na watawala wameshajua sehem ya kutukamata bila hata wasi wasi maana wanajua hatuna umoja
 
Last edited by a moderator:
Ndio dawa ya wanaume wanaosuasua kutangaza ndoa, Mara "ngoja nijipange", "ngoja nimalize digrii ya 2 nisijichanganye na mambo mengi nifanye moja kwanza", "ngoja biashara zikae vizuri", "nimalize nyumba tukifunga ndoa tuwe kwenye nyumba yetu","nangoja kauli ya wazazi".......!
Umesahau na "sijanunua gari bado, si unajua tena mambo ya watoto na nini, staki upate shida kwenda clinic na shopping..."
 
Back
Top Bottom